Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
AMEN Rose Mayemba REPOST UJUMBE UFIKE DODOMA.
20,584 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

@rose_mayemba Kwa mtu yoyote mwenye hofu ya mungu hii hotuba imebeba ujumbe mkubwa mno na lazima utaleta matokeo mungu wetu tunayemwamin hawai wala hachelewi amina

@rose_mayemba 😭😭😭😭Mungu sikia kilio Cha wanawake.🙏

- All I Knew

@rose_mayemba Mungu baba ikikupendeza shughulika naye

@rose_mayemba Na Mungu atafanya huyu dada ameongea vitu vya rohoni kwenye siasa. Huu ni ukombozi wa Taifa letu.

@rose_mayemba Dada Rose, Umeongea kama Mzazi, Mama, Kiongozi. Wakati ukizungumza nimekumbuka mengi yanayotusibu watanzania, Machozi yalinibubujika sana. Mungu akutunze lakini Maombi ya jioni ya leo, Nitayaendeleza Mpaka Mungu ajibu.🙏🏿

@rose_mayemba 🙏😭😭

@rose_mayemba Mungu watu sio Bubu, wala sio Kiziwi wala Sio kipofu!... ameona, Amesikia na atasema na @SuluhuSamia

@rose_mayemba Mungu wetu sikiliza maombi ya waja wako

@rose_mayemba Amen

@rose_mayemba Heart touching speach. I appreciate the delivery.
