Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

46,025 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

KIDUKU's profile picture
KIDUKU1 year ago

Nguvu Ya UMMA Inapoamua Mtawala Anatumia MAJESHI Kuudhibiti Umma Hapa Majeshi Yanakua Na OPTION Mbili 1….Tuue Mamilioni Ya Wananchi Sababu Ya Kikundi Kidogo Cha Watu? 2…Tusambaratishe Kikundi Kidogo Kunusuru Mamilioni Ya Wananchi Hapa Ndio Unasikia JESHI Lachukua Nchi

Rwamibazi Jr's profile picture
Rwamibazi Jr1 year ago

Sio nne tu ila sio nyingi sana 1. Tunisia (2011) 2. Misri (2011) 3. Sudan 4. Serbia 5. Ukraine (2004 na 2014) Mnaweza kuongezea

Mshauri wa Engonga's profile picture
Mshauri wa Engonga1 year ago

Huyo Mzee amejielekeza vibaya sana. Labda alisimuliwa akiwa tungi. Egypt, Tunisia, Algeria, Sudan, Brazil, Peru, France, England, South Korea, hayo mataifa yote yana historia ya mabadiliko yaliyo shinikizwa kwa nguvu ya umma. Don't play with the country people

Angas Oketch's profile picture
Angas Oketch1 year ago

Huyu mzee hana data; Nguvu ya Umma ilishinda katika nchi kama: Tunisia, Misri, Sudan, Burkina Faso, Zimbabwe, Ethiopia, Algeria, Ukraine, Serbia, Georgia, Bolivia, Chile, Argentina, Indonesia, Philippines, Nepal, Thailand, Kyrgyzstan, Lebanon, na South Korea. Historia haifutiki

REGAN™🔴's profile picture
REGAN™🔴1 year ago

No reform no election ni sera itakayo kipeleka chadema kaburini na ndomaana kipanya anachoraga katuni ya mtu ameandaa kaburi anasubiri tu kizika bila kukata tamaa, linajaa maji anatoa anaendelea kusubiri watu hawaamini niliwaambia chadema ikienda ivyo itakufa wakanipika sana humu

#NIPENI_MAUA_YANGU💐's profile picture
#NIPENI_MAUA_YANGU💐1 year ago

Ile katuni umeitafsiri kinyume

NTOBI's profile picture
NTOBI1 year ago

Mkato, utaambiwa wewe ni G-55! Futa hii tafadhali! Hakuna cha maridhiano hapa!🤔

#NIPENI_MAUA_YANGU💐's profile picture
#NIPENI_MAUA_YANGU💐1 year ago

Ni muhimu kuwa na mijadala kama hii na ijibiwe kwa hoja

Dreezy's profile picture
Dreezy1 year ago

Asa kama hawataki makubaliano ya amani wwe mkato unashauri njia gani nzuri itumike

mshumaa's profile picture
mshumaa1 year ago

Hana hoja, CDM haijasema nguvu hiyo anayoielezea kwa mifano. Wanamaanisha umma itumie nguvu ya kushawishi mabadiriko ya sheria ya uchaguzi bado hatujafikia kiasi hicho lakini ikilazimu tutafika huko kwasababu watu wamechoka dhulma. Inawezeka ikawa mtu moja tu akabidiri historia.

Related Videos