Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

46,025 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля KIDUKU
KIDUKU1 год назад

Nguvu Ya UMMA Inapoamua Mtawala Anatumia MAJESHI Kuudhibiti Umma Hapa Majeshi Yanakua Na OPTION Mbili 1….Tuue Mamilioni Ya Wananchi Sababu Ya Kikundi Kidogo Cha Watu? 2…Tusambaratishe Kikundi Kidogo Kunusuru Mamilioni Ya Wananchi Hapa Ndio Unasikia JESHI Lachukua Nchi

Фото профиля Rwamibazi Jr
Rwamibazi Jr1 год назад

Sio nne tu ila sio nyingi sana 1. Tunisia (2011) 2. Misri (2011) 3. Sudan 4. Serbia 5. Ukraine (2004 na 2014) Mnaweza kuongezea

Фото профиля Mshauri wa Engonga
Mshauri wa Engonga1 год назад

Huyo Mzee amejielekeza vibaya sana. Labda alisimuliwa akiwa tungi. Egypt, Tunisia, Algeria, Sudan, Brazil, Peru, France, England, South Korea, hayo mataifa yote yana historia ya mabadiliko yaliyo shinikizwa kwa nguvu ya umma. Don't play with the country people

Фото профиля Angas Oketch
Angas Oketch1 год назад

Huyu mzee hana data; Nguvu ya Umma ilishinda katika nchi kama: Tunisia, Misri, Sudan, Burkina Faso, Zimbabwe, Ethiopia, Algeria, Ukraine, Serbia, Georgia, Bolivia, Chile, Argentina, Indonesia, Philippines, Nepal, Thailand, Kyrgyzstan, Lebanon, na South Korea. Historia haifutiki

Фото профиля REGAN™🔴
REGAN™🔴1 год назад

No reform no election ni sera itakayo kipeleka chadema kaburini na ndomaana kipanya anachoraga katuni ya mtu ameandaa kaburi anasubiri tu kizika bila kukata tamaa, linajaa maji anatoa anaendelea kusubiri watu hawaamini niliwaambia chadema ikienda ivyo itakufa wakanipika sana humu

Фото профиля #NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐1 год назад

Ile katuni umeitafsiri kinyume

Фото профиля NTOBI
NTOBI1 год назад

Mkato, utaambiwa wewe ni G-55! Futa hii tafadhali! Hakuna cha maridhiano hapa!🤔

Фото профиля #NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐1 год назад

Ni muhimu kuwa na mijadala kama hii na ijibiwe kwa hoja

Фото профиля Dreezy
Dreezy1 год назад

Asa kama hawataki makubaliano ya amani wwe mkato unashauri njia gani nzuri itumike

Фото профиля mshumaa
mshumaa1 год назад

Hana hoja, CDM haijasema nguvu hiyo anayoielezea kwa mifano. Wanamaanisha umma itumie nguvu ya kushawishi mabadiriko ya sheria ya uchaguzi bado hatujafikia kiasi hicho lakini ikilazimu tutafika huko kwasababu watu wamechoka dhulma. Inawezeka ikawa mtu moja tu akabidiri historia.

Похожие видео