Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Asante Askofu
36,772 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
17 Kommentare

Huyu ni nabii wa kweli, kazi ya nabii ni kuionya mamlaka. No reforms no election 🛑

take the journey

Ujumbe wa Baba Askofu umekuja kwa wakati sahihi ni wajibu wa watawala kuzingatia yaliyosemwa wasishupaze shingo.

Ama kweliii hii no reforms no election imewapa ujasirii watu watu wameleta upinzani mkali kweli kweli we need reforms

Tatizo watawala wameshajiita viziwi. Yataingilia kushoto na kupotelea kulia. Watawala wamejisokota kwenye vyombo vya dola na vya maamuzi. Wanadhani wao ndiyo wamiliki wa nchi wengine ni watoto wa kambo. Wananchi wameyalea haya kwa kudhani tatizo ni la Cdm kwamba wao hawahusiki

Watu ata aibu Hawana eti yanaenda kwenye uchaguzi uku strong contender yupo jera

Huyu ukimlinganisha na @Malasusa ni mbingu na ardhi kweli #NoReformsNoElection ni mpango wa Mungu

Askofu ameongea maneno ya maana sana. Kwa watawala na watawaliwa

No reforms No election

Mpango wa Mungu huu ni reform no election

Kubwa sana hiiii

Naongezea Baba Askofu kafunua mshono

@godbless_lema naomba waalikeni maaskofu WOTE walionena ukweli kupitia jumbe za pasaka then mje na neno la pamoj naamin nchi itasimama kaka moto umeshakolea

God is working 💪 He is working in ways we can not see..

Swali je chura kiziwi atasikia

Wana yasikia lakini hawa elewi

Hivi hawa maaskofu wengine walionyamaza kimya leo, wanamtumikia Mungu au ni wachumia tumbo walioamua kujipatanisha na watesi wa taifa hili ili kutetea matumbo yao. Baba Askofu huyu kazungumza kile watawala wasichotaka kisemwe
