正在加载视频...
视频加载失败
Dini ni hatari kuliko shetani - Gwajima
11 条评论

@EsirEid hata saa mbovu Kuna nyakati husema ukweli. Msikilize sasa huyu.. Achana na kitu inaitwa dini. Waafrika tutaendelea kufanywa wapumbavu mpaka lini?

Mmh....labda dini nyengine lakini Islam, it is the right way

Wakristo bhana...hahahahaha!!!......Yani kosa nikutokua na andiko linalosema ukristo ni dini...........

Chiitan is the main character in Joker Part 2.

Adui yupo ili kuiba, kuharibu na kuchinja. Yn 10:10 Advocate wa upotevu wote duniani ni SHETANI. Biblia inamuita Mkuu wa Ulimwengu huu. Muuni robo tatu ya Mbinguni Ataipotosha. Hakuna kilicho au Aliye hatari zaidi ya SHETANI mwenyewe. Sijui Biblia gani jamaa anatumia?!

Kuanzia sasa Ukisikia wanasema Dini hakuna Dini Means wanakataa Uislam. Alhamdulillah tumelijuwa hili. Dini = Uislam.

fact

Madini.madini

Nimpe dada yangu huyu baba

🙌

Wewe kichaa @fumbokhanJr sikiliza hapa.
