Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Duh sikiliza.
38,941 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Mwakinyo anajua kuongea vizuri sana

Watu huwa tunadhani matajiri ni makatiri,oya maskini wengi ndo wabaya, sema tu ni rahisi kuona ubaya wa matajiri au watu maarufu kwasababu wao wako wachache na wanaangaliwa na wengi, lakini maskini wengi ndo wabaya.

ndio maana mikoa ya pwani ipo nyuma sana

Jamaaa linaongeaga sana fact

Noma aisee

Maskini wana roho mbaya sana asee Na huo mkoa wake nis hida nyingine ndo maana % kubwa ni maskini

Hii imen kuta hii kummmake zao Ndugu wasenge senge

Tanga wanaoneana wivu mpka kwenye uchawi watu wa Tanga wengi wanapenda uchawi na kufuga majini

Duh

Duh 🙄, kwa hali hii na mm sjui kama sijarogwa na maskini maana nafanya kazi pesa napata nyingi viwanja ninavyo ila kujenga bado na hela siioni inaenda wapi

Duh
