正在加载视频...
视频加载失败
Sikiliza TAFAKARI
84,765 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
8 条评论

Ifike mahala hawa wanawake wasioonekana na waume zao wasipewe uongozi kwa kuwa wanakuwa na tabia za kikahaba.

Mama huyu anazeeka vibaya mno—na kilichotia faraja ni kwamba hata umati uliokuwa ukimsikiliza haukuonyesha kumuunga mkono, hasa kwa hotuba yake iliyojaa unafiki kupindukia.

AJENDA YA TAIFA NI 🫵

Ni mazaa kwangu lkn ako na LOW THINKING CAPACTY.. Dunia ipii muieshimishee kwa UWIZII huhuu wa Kura mtajiheshimishaa lbda kwa uwizii..Tunajua unautafuta hata ukuu wa mkoa..

Harafu kunamtu anasimama anasema piga Kura linda kura ujinga mtupu kauli kama hii aliitowa samia mwenyewe kwenye kampani za 2020 na yalitokea ccm niwasema kweli No reforms no election

Nadhani kuna haja ya waandishi wa vitabu kukusanya takwimu za uchawa nchi hii ili waje waandike kitabu cha uchawa hapo baadaye baada ya kulikomboa taifa hili kisomwe na wajukuu zetu baadaye waone athari za uchawa zilivyochelewesha harakati za kweli za ukombozi.

Yule askofu wa Kagera alisema njia pekee ya kulinda kula ni kubaki nayo nyumbani 🤣 alikuwa na kitu

Halafu zambarau wanawadanganya watu Linda kura 😂
相关视频
Sensitive content
Sikiliza mpka mwisho 😀😀👇
chuga girl❣️
58,122 次观看 • 1 年前
