Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Eti,.? 🤔🤔

108,587 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля KingPin Bravos♟️
KingPin Bravos♟️1 год назад

Mimi sijui Sheria za barabarani lakini kwakuwa kwenye ajali hii yupo bodaboda basi yeye ndie mkosaji

Фото профиля Baba Babu
Baba Babu1 год назад

Barabara aliyopo bodaboda ina alama ya amri "SIMAMA" yeye kaunga bila kuangalia gari inayokuja toka kulia kwake ambayo ina haki zote za kupita maana iko main road na iko kulia Kwa Bodaboda.

Фото профиля RamDan🌿Gwataman
RamDan🌿Gwataman1 год назад

Boda boda alipaswa kusimama akaipa kipaumbele gari inayotoka upande wa kulia kwake

Фото профиля Iamiskiss
Iamiskiss1 год назад

Mwenye kosa ni boda. Kwa jicho la kiudereva apo Boda aliomba nafasi ya kujipenyeza apite chap lakini mwenye gari akambania fursa ya kupita so akapita naye. Humu kwenye Barabara sio Kila mtu Yuko fair tuzingatie alama za barabarani.

Фото профиля # Stones dealer#
# Stones dealer#1 год назад

Nimependa walivyoanguka Tu,kama walitaka kuruka hivi Ila jamaa akawawai chap.😀😀😀

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

- Come Around

Фото профиля Rusianboy💱
Rusianboy💱1 год назад

Kwanza kuna Main road na sheria inasema kwanza kabla ya kuingia main road angalia km kuna gari. Boda akili hana kwa sabb alitakiwa apishe magari yaliyo kwenye main road.

Фото профиля Hammy 🐦
Hammy 🐦1 год назад

boda mzembe na dereva wa prado hana akili na busara.

Фото профиля zoomIn
zoomIn1 год назад

Bodaboda, ila mwenye cruiser alikua na nafasi ya kuokoa ajali ila nae hakujali, ni kama alikusudia au alikua bize kutazama kitu kingine pembeni badala ya kutizama mbele hakua na defensive driving, ila kosa ni bodaboda kuingia mazima mainroad

Фото профиля Zawadi Samsoni
Zawadi Samsoni1 год назад

Ukitoka distribution road na kuingia main road inatakiwa usimame na uwashe indicator kuonba kuingia main road kama kuna gari zinapita subiri mbaka zikuruhusu ndio uingie.. Kwa kesi hii bodaboda alitakiwa asubiri na ombe kuingia barabarani ( main road) akiruhusiwa aingie kama hajaruhusiwa alitakiqa asubiri mbaka gari ziishe ndio aingie road.. Though huyo mwenye cruiser naye alikua ana nafasi ya kuzuia ajar kwa kusimama

Фото профиля Danieli Shuma🥇
Danieli Shuma🥇1 год назад

Ukiangalia vizuri bila mihemko na ukumbo,,,. Ni dhahiri, dereva boda ana makosa tena makubwa mnoo, angalia movement ya gari alafu angalia movement ya boda, gari lipo on site, lakini boda kalazimisha kuingia barabarani bila tahadhari. HUU UKWELI MSIUPINGE.

Похожие видео