Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

108,587 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

KingPin Bravos♟️ profil fotoğrafı
KingPin Bravos♟️1 yıl önce

Mimi sijui Sheria za barabarani lakini kwakuwa kwenye ajali hii yupo bodaboda basi yeye ndie mkosaji

Baba Babu profil fotoğrafı
Baba Babu1 yıl önce

Barabara aliyopo bodaboda ina alama ya amri "SIMAMA" yeye kaunga bila kuangalia gari inayokuja toka kulia kwake ambayo ina haki zote za kupita maana iko main road na iko kulia Kwa Bodaboda.

RamDan🌿Gwataman profil fotoğrafı
RamDan🌿Gwataman1 yıl önce

Boda boda alipaswa kusimama akaipa kipaumbele gari inayotoka upande wa kulia kwake

Iamiskiss profil fotoğrafı
Iamiskiss1 yıl önce

Mwenye kosa ni boda. Kwa jicho la kiudereva apo Boda aliomba nafasi ya kujipenyeza apite chap lakini mwenye gari akambania fursa ya kupita so akapita naye. Humu kwenye Barabara sio Kila mtu Yuko fair tuzingatie alama za barabarani.

# Stones dealer# profil fotoğrafı
# Stones dealer#1 yıl önce

Nimependa walivyoanguka Tu,kama walitaka kuruka hivi Ila jamaa akawawai chap.😀😀😀

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

- Come Around

Rusianboy💱 profil fotoğrafı
Rusianboy💱1 yıl önce

Kwanza kuna Main road na sheria inasema kwanza kabla ya kuingia main road angalia km kuna gari. Boda akili hana kwa sabb alitakiwa apishe magari yaliyo kwenye main road.

Hammy 🐦 profil fotoğrafı
Hammy 🐦1 yıl önce

boda mzembe na dereva wa prado hana akili na busara.

zoomIn profil fotoğrafı
zoomIn1 yıl önce

Bodaboda, ila mwenye cruiser alikua na nafasi ya kuokoa ajali ila nae hakujali, ni kama alikusudia au alikua bize kutazama kitu kingine pembeni badala ya kutizama mbele hakua na defensive driving, ila kosa ni bodaboda kuingia mazima mainroad

Zawadi Samsoni profil fotoğrafı
Zawadi Samsoni1 yıl önce

Ukitoka distribution road na kuingia main road inatakiwa usimame na uwashe indicator kuonba kuingia main road kama kuna gari zinapita subiri mbaka zikuruhusu ndio uingie.. Kwa kesi hii bodaboda alitakiwa asubiri na ombe kuingia barabarani ( main road) akiruhusiwa aingie kama hajaruhusiwa alitakiqa asubiri mbaka gari ziishe ndio aingie road.. Though huyo mwenye cruiser naye alikua ana nafasi ya kuzuia ajar kwa kusimama

Danieli Shuma🥇 profil fotoğrafı
Danieli Shuma🥇1 yıl önce

Ukiangalia vizuri bila mihemko na ukumbo,,,. Ni dhahiri, dereva boda ana makosa tena makubwa mnoo, angalia movement ya gari alafu angalia movement ya boda, gari lipo on site, lakini boda kalazimisha kuingia barabarani bila tahadhari. HUU UKWELI MSIUPINGE.

Benzer Videolar

🤔🤔🤔🤔🤔⁉️⁉️
0:25

Sensitive content

🤔🤔🤔🤔🤔⁉️⁉️

Muhammad Tuhasan

95,952 görüntüleme • 6 ay önce