正在加载视频...
视频加载失败
Ewe, KIJANA AMKA KUMEKUCHA.
11 条评论

Mimi kuna kitu nimejifunza hivi karibuni, aibu yako ndo umaskini wako, especially sisi tunaojiita wasomi 🚮, hatutaki kabisa kazi itakayo onyesha kwamba tupo chini tunaogopa macho ya colleagues wenzetu tuliosoma nao etc, lakini hizo ndo zinalipa....

✍️✍️✍️

space meets sound

Malembo na wewe kumbe umo 250000*30 = 7,500,000? Ngoja nikae kimya maana sina research?

Achana na hesabu kwanza, umehamasika? Yes No! Fanya reseach zako sasa.

The TRA is ready to pair... TRA has paired successfully heheheheheheh

Kasema anaingiza lak2.5 sio faida!! Biashara nyinginfaida wanapata 20% ya mauzo yale!! Hao wachumi nao ni wasenge saana wao ni mwendo wa self Discipline na vision wape fremu halafu Urudi baada ya miezi 6 tu🤣🤣 wameshakimbia

Kaka ni kweli biashara inafaida kiukweli location tu maana kama sehemu Ina mzunguko ni ela mi niliwekaga sehemu mtaani kwetu tu Ila faida per day 5000 Sema nilienda veta nimemaliza nataka ninunue machine mpya nitafute location nzurii nianzee

KUMBE BASI TRA TUNAFIKA HAPO ...KWA SIKU MNAPATA 250,000...SAWA

Kijana hivi una Leseni ya biashara?

Makelele mengi mpaka Zakayo aje kufwata ushuru wake,wabongo hatuwezi kuficha white kabisa.
