Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

36,645 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Eng. Ngaro's profile picture
Eng. Ngaro2 years ago

Sisi watu weusi bado tunashida pahala, kama zamni kikundi cha watu 100 kinasafirishwa na mtu mmoja mwenye silaha tena gobole kwenda kuuzwa nao wametulia tu na wengine wamembeba huyo anae enda kuwauza

Mmbetta Jr's profile picture
Mmbetta Jr2 years ago

Kwakwel mimi hata uwe nani huwezinipiga Hivi nivumilie #Nitahakikisha nakufa naww potelea mbali.Hao Majamaa wanapigwa na wametulia tuu kana kwamba hawaskii chochote. Ujinga👉🚮

George Maji's profile picture
George Maji2 years ago

Stupid, ni sisi wenyewe tunatoa nafasi ya kufanyiwa ufala huu, shida yetu waafrika ipo wapi??? Wapi tunafeli?? Kujitetea dhidi ya uovu wowote ni haki ya msingi ya binadamu yeyote, sasa hawa ndugu?? Wanatuaibisha sana!!

Fatherhouse's profile picture
Fatherhouse2 years ago

Labda niwe Nchini kwao ila kwetu hata kama anapiga karate huyo nitakufa naye Mzee haa yani sio tu anifanyie mimi ila hawezi mfanyia hata mbongo mwenzangu hivyo halafu nikamwangalia weeeeh!

MKINGA B O Y's profile picture
MKINGA B O Y2 years ago

Kwangu ingekua hvyo nakwambia kabisa nilikua nauona ubilionea kwangu ningewabuluza kunako staili mpaka akili iwakae sawa na evidence hii ipo clear kabisaaa....

Nina stori kama hiyo's profile picture
Nina stori kama hiyo2 years ago

Alafu unaweza ukashangaa jamaa wanafanyiwa hivyo ndani ya nchi yao waliyozaliwa aisee nimetembea vinchi vichache nimeona hayo manyanyaso nikirudi nyumbani mgeni akinianza kuniletea ujinga nambikiri aisee otherwise wajue jamaa usimuanze.. wakienda na mm vizuri sitawadhiru ila ila

edwin raymond's profile picture
edwin raymond2 years ago

Aaaaaa mm naenda jela kwaajili yake aise

Mnkandeimu's profile picture
Mnkandeimu2 years ago

Mambo ya uwekezaji haya.Good job Tanzania!

007Njaidibond's profile picture
007Njaidibond2 years ago

😭😭

Jayden's profile picture
Jayden2 years ago

Hawa nao washamba tuu unakalia jiwe badala litumike

Related Videos