Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Aposto akishusha upako😂😂😂, hatari sana!!
13,087 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Alishindwa kumponya my paralyzed dad despite being paid...this dude is a fraud

Huo ni uongo mkubwa aende muhimbili akawaponyeshe au mimi nimlete ndugu yangu kiwete mbele ya media zote amuombee atembee najua hawezi

Zaznibar wamtimua mtume wa kike 🫴hizo mambo fanyeni huko kanosani sio kwa muslims

Afrika kiboko, yaani hata huko Ulaya hii teknolojiaaa hawana🤣🤣

Sasa kama siyo ugonjwa wa akili huu ni nini?

Mwambie akawaombee na wagonjwa mahospitalini, Kuna wagonjwa wanahitaji maombi kuliko kula

Si wamuombee Lisu apone na atembee sawasawa.

Hii propaganda ya mwamposa imedumu zaidi ya ile ya Babu lolioindo 😄 Inaonekana hapa uwekezaji ni mkubwa. Eti mpaka wanaoitwa mashekhe nao wapo kwa "Mtume Mwamposa"

Unajiuliza kwanini haendagi mahospitalini ili wagonjwa wapone huko

Ata hao wazungu wenyewe wenye dini yao huezi wakuta kwny huu utapeli
