Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

36,645 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Eng. Ngaro
Eng. Ngaro2 лет назад

Sisi watu weusi bado tunashida pahala, kama zamni kikundi cha watu 100 kinasafirishwa na mtu mmoja mwenye silaha tena gobole kwenda kuuzwa nao wametulia tu na wengine wamembeba huyo anae enda kuwauza

Фото профиля Mmbetta Jr
Mmbetta Jr2 лет назад

Kwakwel mimi hata uwe nani huwezinipiga Hivi nivumilie #Nitahakikisha nakufa naww potelea mbali.Hao Majamaa wanapigwa na wametulia tuu kana kwamba hawaskii chochote. Ujinga👉🚮

Фото профиля George Maji
George Maji2 лет назад

Stupid, ni sisi wenyewe tunatoa nafasi ya kufanyiwa ufala huu, shida yetu waafrika ipo wapi??? Wapi tunafeli?? Kujitetea dhidi ya uovu wowote ni haki ya msingi ya binadamu yeyote, sasa hawa ndugu?? Wanatuaibisha sana!!

Фото профиля Fatherhouse
Fatherhouse2 лет назад

Labda niwe Nchini kwao ila kwetu hata kama anapiga karate huyo nitakufa naye Mzee haa yani sio tu anifanyie mimi ila hawezi mfanyia hata mbongo mwenzangu hivyo halafu nikamwangalia weeeeh!

Фото профиля MKINGA B O Y
MKINGA B O Y2 лет назад

Kwangu ingekua hvyo nakwambia kabisa nilikua nauona ubilionea kwangu ningewabuluza kunako staili mpaka akili iwakae sawa na evidence hii ipo clear kabisaaa....

Фото профиля Nina stori kama hiyo
Nina stori kama hiyo2 лет назад

Alafu unaweza ukashangaa jamaa wanafanyiwa hivyo ndani ya nchi yao waliyozaliwa aisee nimetembea vinchi vichache nimeona hayo manyanyaso nikirudi nyumbani mgeni akinianza kuniletea ujinga nambikiri aisee otherwise wajue jamaa usimuanze.. wakienda na mm vizuri sitawadhiru ila ila

Фото профиля edwin raymond
edwin raymond2 лет назад

Aaaaaa mm naenda jela kwaajili yake aise

Фото профиля Mnkandeimu
Mnkandeimu2 лет назад

Mambo ya uwekezaji haya.Good job Tanzania!

Фото профиля 007Njaidibond
007Njaidibond2 лет назад

😭😭

Фото профиля Jayden
Jayden2 лет назад

Hawa nao washamba tuu unakalia jiwe badala litumike

Похожие видео