Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Iringa mjini leo

26,180 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля 🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿1 год назад

Move on fam… Yano toka uhame hauna agenda nyingine tofauti na kuisema CHADEMA! Mbowe ashatoka- tangazeni sera majungu haya muwaachie wanwake wa VITI MAALUM

Фото профиля Mboni
Mboni1 год назад

Wee jamaa upo huku au kule? Unafanya mipango gani na CC ya CDM hapa👇? Unauza siri za chama chetu CCM nini?

Фото профиля Kasongo
Kasongo1 год назад

Katiba ya CCM ilivunjwa kisa Royal Family ilikula pilau ya Ikulu wakasema inabid uendelee Yale maamuz sio ya Wanachama ila ni familia tu moja iliamua. Wewe unapongeza kama zuzu. CCM ni taka. Mungu huchukia Dhulma, Yeye huwatawanya wenye Kiburi na kuwaangusha wafalme vit vya enzi.

Фото профиля Nehushtan
Nehushtan1 год назад

🤔

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

take the journey

Фото профиля Stranger
Stranger1 год назад

Sura yako na maneno yako na moyo wako, havirandani pole sana, Mchungaji msigwa ungerudi tu na Ungepokelewa

Фото профиля JPEGMAFIA
JPEGMAFIA1 год назад

Na wewe umekua chawa tena mkuu

Фото профиля Kombora la Putin
Kombora la Putin1 год назад

Wenzako

Фото профиля Malima Chacha
Malima Chacha1 год назад

This is Peter Msigwa smart enough, current enough👏

Фото профиля Rweyemamu Rufulano
Rweyemamu Rufulano1 год назад

Huko ulipo siyo sahihi na unajua siyo sahihi. Aliyekutendea ubaya unajua tayari Wananchi wameisha muadhibu. Tafadhari Mheshimiwa Rudi Nyumbani. Wana Iringa wanakuhitaji ukiwa umevaa sare za ukweli, Haki na uwajibikaji .

Фото профиля Shaban Hamis Kalekilima
Shaban Hamis Kalekilima1 год назад

Peter utabaki kuwa Msigwa tu tunaekujua. Bado hujazeeka kabisa kusema unastaafu siasa za harakati na hoja. Nawajua wanasiasa wachache mno hapa Tanzania wanaweza kufika level yako ya ujenzi na utetezi wa hoja. CCM hauna hiyo platform kaka lazima tu utakua unajiona hapo eneo sahihi

Похожие видео