Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Jamaa kaongea vizuri
121,375 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Son of Kilimanjaro🇹🇿1 год назад
Ni upuuzi kuzuia wananchi kusaidia kutoa huduma ya uokozi,hii itapelekea kupoteza uhai wa watu wengi

BIDEN1 год назад
Ndo nchi yetu hiii

Geel1 год назад
Jamaa anajua kuuma na kupuliza!

Mr Ngedere sgr1 год назад
Kaongea kama serikali inavyotaka yaani,igombeze ila wananchi wasijue

TricyLove🦁1 год назад
Huyu kaongea mengi ya msingi

BIDEN1 год назад
Kabisa

Blessed Trice✝️🙏1 год назад
Mungu atusaidie pekeetu hatuwezi👏🙏

BIDEN1 год назад
Kabisaa

spana1 год назад
Askari kakutana na burungutu la dola mamamamaamamamamamamama

Abraham1 год назад
Wanna Wananchi walikuwa w a kioķoa kwa kasi kwa sababu malengo na shauku kuwapata waliochini, kikosi cha uokoaji kwanza kinaangalia usalama wao kwanza Kisha usalama wa waliochini ,kwaiyo lazima zoezi lichelewe.
