Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Katoro moja

48,625 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля KIJANA
KIJANA1 год назад

Next President of United republic of Tanzania 🇹🇿 2025-2030. Tundu Antipas Mughwai Lissu.

Фото профиля Moses Mussoline
Moses Mussoline1 год назад

Kula Chuma hicho kutoka Iringa

Фото профиля johaness
johaness1 год назад

Mlete msigwaaa, mlete tapeliiii....una miezi miwili ss yakusurvive kwenye siasa....wewe ni muhuni unaishi kwakuisema cdm....hata km cdm ni matapeli ni bora kuliko masisyemu

Фото профиля Antigon FM
Antigon FM1 год назад

Porojo tu umechuja mzee. Vyombo vya dola kwa nini havichukui hatua kama kuna ufisadi na rushwa chadema? 😅😅😅😅

Фото профиля Dingilai
Dingilai1 год назад

Kukosa Cheo cha Uenyekiti wa chama kumekupa sana msongo wa mawazo. Ni muda tu haujafika ila unaenda kutupwa kama pedi iliyotumika. Niko hapa

Фото профиля kiza kinene
kiza kinene1 год назад

Sasa wewe na chadema nani tapeli

Фото профиля Thadei Mhabuka
Thadei Mhabuka1 год назад

Mzee wa vipande 30 vya fedha

Фото профиля mux venal
mux venal1 год назад

Utapeli? Kwann ulijiunga na chama Cha matapeli, ilikuwaje chama Cha matapeli wakakufanya ujulikane Tanzania nzima hadi wakafika Bei ya kukununua , ukasahau kabisa na kuhudhuria kanisani kutwa kuiponda chadema na kusifia viongozi wa mbogamboga, Non sense

Фото профиля Alexander Philip
Alexander Philip1 год назад

Huna utofauti na manara, mmeondoka lkn kutwa kuongelea vibaya palipowafanya mkajulikana na bahati mbaya wala hamjibiwi na hao mnaowatukana

Фото профиля Fred Mafuru
Fred Mafuru1 год назад

wana CCM mliowakusanya hapo wanatamani kuelezwa mazuri ya kwao kuliko mabaya ya jirani zao, au wamekwambia wanataka kuhamia CDM? Kama hujui wanachotaka uliza waliokupa kipaza ili usiwapotezee muda na kuwachelewesha kudandia malori kurudishwa walikotolewa,

Похожие видео