Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

48,625 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

KIJANA profil fotoğrafı
KIJANA1 yıl önce

Next President of United republic of Tanzania 🇹🇿 2025-2030. Tundu Antipas Mughwai Lissu.

Moses Mussoline profil fotoğrafı
Moses Mussoline1 yıl önce

Kula Chuma hicho kutoka Iringa

johaness profil fotoğrafı
johaness1 yıl önce

Mlete msigwaaa, mlete tapeliiii....una miezi miwili ss yakusurvive kwenye siasa....wewe ni muhuni unaishi kwakuisema cdm....hata km cdm ni matapeli ni bora kuliko masisyemu

Antigon FM profil fotoğrafı
Antigon FM1 yıl önce

Porojo tu umechuja mzee. Vyombo vya dola kwa nini havichukui hatua kama kuna ufisadi na rushwa chadema? 😅😅😅😅

Dingilai profil fotoğrafı
Dingilai1 yıl önce

Kukosa Cheo cha Uenyekiti wa chama kumekupa sana msongo wa mawazo. Ni muda tu haujafika ila unaenda kutupwa kama pedi iliyotumika. Niko hapa

kiza kinene profil fotoğrafı
kiza kinene1 yıl önce

Sasa wewe na chadema nani tapeli

Thadei Mhabuka profil fotoğrafı
Thadei Mhabuka1 yıl önce

Mzee wa vipande 30 vya fedha

mux venal profil fotoğrafı
mux venal1 yıl önce

Utapeli? Kwann ulijiunga na chama Cha matapeli, ilikuwaje chama Cha matapeli wakakufanya ujulikane Tanzania nzima hadi wakafika Bei ya kukununua , ukasahau kabisa na kuhudhuria kanisani kutwa kuiponda chadema na kusifia viongozi wa mbogamboga, Non sense

Alexander Philip profil fotoğrafı
Alexander Philip1 yıl önce

Huna utofauti na manara, mmeondoka lkn kutwa kuongelea vibaya palipowafanya mkajulikana na bahati mbaya wala hamjibiwi na hao mnaowatukana

Fred Mafuru profil fotoğrafı
Fred Mafuru1 yıl önce

wana CCM mliowakusanya hapo wanatamani kuelezwa mazuri ya kwao kuliko mabaya ya jirani zao, au wamekwambia wanataka kuhamia CDM? Kama hujui wanachotaka uliza waliokupa kipaza ili usiwapotezee muda na kuwachelewesha kudandia malori kurudishwa walikotolewa,

Benzer Videolar