Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Kitengo cha SYSTEM 😂🫵🏾 Hii nchi kila mtu TAPELI.

402,018 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

Kisheti profil fotoğrafı
Kisheti1 yıl önce

Swali la msingi kwa Aya yanayotokea yule luteni wa miaka 24 Na uyu kitengo system SARE WANAZITOA WAPI? naona comments zote zinaongea ovyo bila kuhoji vitu vya msingi Hawa watu sare wanazitolea wapi?

Makanda Bara profil fotoğrafı
Makanda Bara1 yıl önce

Hili la mwisho kasema unanichosha af anaambiwa pole mdogo wangu huyu Dada atakua katiri sio bure!!

Vitus Nkuna profil fotoğrafı
Vitus Nkuna1 yıl önce

JKT -Mbeya Mafinga kaniacha na mshangao. 😁😁😁😁 bora tubeti 🤝

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

- Know Me

KIDUKU profil fotoğrafı
KIDUKU1 yıl önce

Alijua Akinyoa KIDUKU Na Akikwangua Ndevu Akawa Kama ZUCHU Akivaa Na Gwanda Anakua Kamaliza Kila Kitu KUMANYOOOOKO Zake 😂😂😂

Bukayo shafi🇹🇿 profil fotoğrafı
Bukayo shafi🇹🇿1 yıl önce

Me jkt nimepiga kule singida chanika mkuu

NYANGUMI profil fotoğrafı
NYANGUMI1 yıl önce

Kuna bro alitoka DRC akarud na t-shirt za jeshi la South Africa aaniambia chukua hizo ukivaa hawakuzingui nikamwambia Acha usenge baki nazo mwenyewe

WHYMYCATISSAD profil fotoğrafı
WHYMYCATISSAD1 yıl önce

Sema jamaa kama ni mtu kweli hivi ila inakuja inakataa

Evance profil fotoğrafı
Evance1 yıl önce

😀😀😀 uyu dada anayemuhoji so mtu mzuri kabisa ety "pole mdogo wangu" mwishoni akamwambia nakuchosha mdogo wangu hawa ndo wale wanaofanyaga watu wanakula doso sana jkt utasiki maafande madogo wamesema wakiwa wanakula ugali wananiona kwenye mboga😀

Godfrey Matinya profil fotoğrafı
Godfrey Matinya1 yıl önce

Naona mnacoment2 ,hio video ukiiangalia vizuri utajua huyo jamaa ni askari kabisa yaan anachofanya apo anawavuruga ao maana kwanza keshaona wanamrekodi kwaio kunamambo hawezi ongea ongea2 anachofanya kuwavuruga tu😂

paul dicanio makoye profil fotoğrafı
paul dicanio makoye1 yıl önce

Huyu wala sio hajui vyote anajua sema ni namna tu yakufanya hii video watu waone jinsi unavyoweza jichanganya kama sio muhusika..

Benzer Videolar