Loading video...
Video Failed to Load
Kumbe Familia 😀
11 Comments

Pisikali bongo1 year ago
cha kienyeji

Solar Heavy1 year ago
perfect beach vibes

KARANI MTUNZA MAFAILI1 year ago
Kwaio unamchonganisha na club yake ili akose ridhiki au,, acha ungese fala wewe🚮🚮

Athumoney1 year ago
Acha uchonganishi ww unavozua taharuki kwa watu unataka dogo apotee kimpira au kumbuka sio mchezaji wa simba tu pia ni mchezaji wa taifa unapopost kitu hakikisha unafikiria mara mbili we ni mtu mzima mzee

Pisikali bongo1 year ago
mali safi

Bunyinyiga1 year ago
Akae tu nje kama Ayubu na Manura

Lau1 year ago
Unazingua msee. Kuleta video za zamani ili kuzua taharuki ni kuikosea afya ya mpira na wachezaji wa huo mpira. Kama chombo cha taarifa za michezo umezingua sana msee

Emilius Kifigo1 year ago
Kaka unatafta Maisha acha kumwaribia dogo Team zetu unazifamu?Kijili adi wa Leo hapati mda wa kucheza so ungemsaidia kama Mtanzania mwenzio

Mohamed Mbwambo1 year ago
Admin Leo jimalizee tu 😂😂😂

Ahmet Deniz 🇹🇷1 year ago
Kijana wetu huyu😀😀

Gregory Charles Ndaki1 year ago
Weka Bench hadi ajitambue
