Sensitive content
This media may contain sensitive content.
Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Kumbe si jepesi tunavyodhani.
45,781 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Mpina alikuwa Naibu Waziri wa fedha kabla ya kuhamishiwa Mifugo na uvuvi; alikuwa serikalini anajua anachosema.

T 42, wakati bajeti ni 50T. Ana hoja ya msingi ila namba anazingua

Huyo mwanamke hana maana hata ungeandika kurasa 600

Kwani wanasoma basi?

@LuhagaMpina wewee ni Rais ujae tunaomba wakikunyima ubunge utulie ... sisi watanzania hatukudai..umepiga kazi uliyotumwa na watanzania.. na ndiyo maana jana umeambiwa wewe ni mbunge wa Taifa. Basi nasisi tunasema Wese ni RAIS ajaye wa Taifa hili.

Itakuuma pale walioba wakapandishwa vyeo ww ukafurushwa

Lakini Bado hajali, nadhani hata hakuisoma.

Raisi hapendi kusoma... na wanaomsomea hawasomi kwa usahihi

Nimekumbuka ule msemo,"kesi ya ngedere kwenda kushtaki kwa nyani."

🤔🤔
