Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Kumbe si jepesi tunavyodhani.

45,781 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Mamwavi_Nkabasia profil fotoğrafı
Mamwavi_Nkabasia1 yıl önce

Mpina alikuwa Naibu Waziri wa fedha kabla ya kuhamishiwa Mifugo na uvuvi; alikuwa serikalini anajua anachosema.

Vicent profil fotoğrafı
Vicent1 yıl önce

T 42, wakati bajeti ni 50T. Ana hoja ya msingi ila namba anazingua

one for real profil fotoğrafı
one for real1 yıl önce

Huyo mwanamke hana maana hata ungeandika kurasa 600

Kunta Kinte profil fotoğrafı
Kunta Kinte1 yıl önce

Kwani wanasoma basi?

DR VAGI VARANGATI profil fotoğrafı
DR VAGI VARANGATI1 yıl önce

@LuhagaMpina wewee ni Rais ujae tunaomba wakikunyima ubunge utulie ... sisi watanzania hatukudai..umepiga kazi uliyotumwa na watanzania.. na ndiyo maana jana umeambiwa wewe ni mbunge wa Taifa. Basi nasisi tunasema Wese ni RAIS ajaye wa Taifa hili.

Walter Mathayo profil fotoğrafı
Walter Mathayo1 yıl önce

Itakuuma pale walioba wakapandishwa vyeo ww ukafurushwa

IBRAHIM TRAOURE profil fotoğrafı
IBRAHIM TRAOURE1 yıl önce

Lakini Bado hajali, nadhani hata hakuisoma.

moff_gideons_sankara🗨 profil fotoğrafı
moff_gideons_sankara🗨1 yıl önce

Raisi hapendi kusoma... na wanaomsomea hawasomi kwa usahihi

Mr.Chiks profil fotoğrafı
Mr.Chiks1 yıl önce

Nimekumbuka ule msemo,"kesi ya ngedere kwenda kushtaki kwa nyani."

SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬 profil fotoğrafı
SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬1 yıl önce

🤔🤔