Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kuna watu wata pinga hii.
33,220 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Nature ya mwanamke ni selfish na ni jeuri hasa akiwa na elimu lkn ni nature ya mwanaume kutoa mwanaume kujitoa sio ombi ni wajibu wake ndio maana alimpa hawa ubavu yeye kabakia na ubavu mmoja😊

Huyu ni kati ya wadada wachache wanaosemea jambo hili bila kufichaficha

Yuko sawa. Wanawake wengi. Wabaguzi, wanajiona, wanajiskia na kusahau Kuna kesho

The first thing God gave a man is Love, Women came to complete a man. wanawake wengi wanafikiri wako kwa ajili ya ku compete with men na ndio maana wanaamini hawawezi kuolewa na asiye na Elimu bila kuangalia Upendo

Degree mbali sana, mwanamke yupo form four halafu likizo harudi kijijini anaenda kwa ndugu Dar ila hiyo minyato sasa, smh!

Medali zinaanza kutolewa sangap??

Huyu mama yupo sahihi,wanawake hawafai

💯

Huyu dada apewe maua yake!! Ndivo ilivyo 100% hata umchangie ada! Ni kazi bure!! 😤

Ukweli
