Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Kuna watu wana roho nzuri sana. ๐
215,903 Aufrufe โข vor 1 Jahr โขvia X (Twitter)
11 Kommentare

Nakumbuka mtu alie nisaidia kupata Kazi alikuwa dereva wa Lori,alipanga nyumbani na alikuja na godoro tu ila nilimuheshimu na alikuwa akinituma.Siku moja akaniuliza kwani umesomea Nini nikamwambia logistics.Jamaa alipiga simu moja tu kw bosi wake wa zamani ndio ukawa Mwanzo wangu

We jamaa fanya dhambi zote wewe ni peponi tu.... Tukimpenda mwenzetu kati yetu Mungu yupoo

Haswaa

jamaa ana moyo mzuri sana ..Mungu awabariki watu kama hawa...kipengele hapo kujua kama kijana unaemleta kama hvyo atakua mwaminifu๐

Kabisa

ukisikia "tuishi kama watu" ndio hii sasa! ๐

Nilimchukua mmoja sokoni aje anifanyie kazi kwenye biashara yangu akaniibia 580,000 akadhani sitojua, Mimi sikuepo akawaambia wafanyakazi wenzie Waite mganga, Mimi nikasema Nina mchawi wangu anaitwa Camera nimefunga, hakuna mfanyakazi alikua anaijua, nikampata read handed kideoni

Mungu ambariki na amfanikishie katika mambo yake

From self employed to employed

@Gaspinho15 Asante kwa FUNZO Nimejikuta Machozi yananitoka Kaka! Mungu akubariki Sana!

Ahsante sana Jumapili njema kwako!!
