Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Majaliwa huyu hapa..
21,559 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Kazi ya uokoaji ni Ngumu.. Na bado watu wapo chini ya Kifusi Kariakoo.. Yule Dogo Majaliwa, alikuwepo na ameumia.. Msikilize mmoja wa waokoaji, kisha umwangalie Majaliwa Video kwa Comments👇

Hivi nnavyoongea..

#Wadhamini Kamata Airtel 5G Router buree leo na uenjoy internet yenye kasi zaidii bila kikomo mwezi mzima. Lipia 110k kwa mwezi mmoja kisha miezi mingine yote 70k. Bonyeza hapa kuwasiliana nasi whatsapp 👇 Tamba Na Airtel 5G.

Zingatia sentensi (code), 'TUNAFANYA KAZI ZA WATU' if u know u know!!

That's military discipline ameshanyooka

Eti tupo tunafanya kazi za watu 🤣🤣🤣

Kaka hili janga la kariakoo linawapa viewers kwel kwel mnatumia mda mwing kurekod kuliko kuokoa

Uyu dogo ameanza kutuzoea vibaya sana anaongea na sisi anasema ya ya ya wewe kijana 🤔

Dogo hayuko comfortable kabisa.

Kopa hazijagusana
Похожие видео
MWAMBA HUYU HAPA. 👊 #TotalEnergiesCAFCL
TotalEnergies CAFCL & CAFCC 🏆
108,415 просмотров • 2 лет назад

