Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
MASHABIKI tunateseka sana….hamjui tyu!!….😀😀
44,569 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Huyu shabiki au mwehu🤣🤣 kuna post niliona inasema "shabiki wa yanga timu ikipoteza wanawalaumu wachezaji, shabiki wa Simba wanalaumu GSM, wazee wa Yanga,TFF, Boad ya Ligi, Marefa n.k." Fact ndio hii ya huyu mwehu.

Maumivu take kama ya timu mjomba wako FAM aliyoyapata na timu yake🤣🤣

take the journey

Uzuri wa haya mateso huwa tunapokezana kwa zamu..... tarehe 8 yanahamia upande wa pili. 😂

Hakuna kitu nafurahi nikiona shabiki wa kolo anateseka😂

Kumbe aliemchapa makofi huyu na kulia lia kutafuta huruma , Hakukosea kabisa

Kama wananchi tunavyoteseka juu ya uvunjwaji wa katiba kuhusu wabunge wasio na Chama kula kodi zetu kupitia ubunge usio halal.

Jamaa roho inamuuma sana 😅

Wamezoea kubebwa😂😂😂ngoma ikiwa haki bin haki tunasikia milio. Ata mechi ya Namungo angechezesha Arajiga na yenyewe ingekula kwenu

Pasuka kabisa chezeni mpira karia karia ndio anacheza?

Hatima yako kwenye chama chako hujaijua bado unapoteza muda kufatilia mpira
Похожие видео
Sensitive content
MALING APES...SUNGGUH MENGHARUKAN😀😀😀😀
Cah Sragen, muter2 di Sumatera, bisnis di Malang😃
238,882 просмотров • 1 год назад
