Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

MASHABIKI tunateseka sana….hamjui tyu!!….😀😀

44,569 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Alexander A Msoffe
Alexander A Msoffe1 год назад

Huyu shabiki au mwehu🤣🤣 kuna post niliona inasema "shabiki wa yanga timu ikipoteza wanawalaumu wachezaji, shabiki wa Simba wanalaumu GSM, wazee wa Yanga,TFF, Boad ya Ligi, Marefa n.k." Fact ndio hii ya huyu mwehu.

Фото профиля Ottoman
Ottoman1 год назад

Maumivu take kama ya timu mjomba wako FAM aliyoyapata na timu yake🤣🤣

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

take the journey

Фото профиля Livin Athanas Silayo
Livin Athanas Silayo1 год назад

Uzuri wa haya mateso huwa tunapokezana kwa zamu..... tarehe 8 yanahamia upande wa pili. 😂

Фото профиля king von Jr
king von Jr1 год назад

Hakuna kitu nafurahi nikiona shabiki wa kolo anateseka😂

Фото профиля OG
OG1 год назад

Kumbe aliemchapa makofi huyu na kulia lia kutafuta huruma , Hakukosea kabisa

Фото профиля Charles Tarimo
Charles Tarimo1 год назад

Kama wananchi tunavyoteseka juu ya uvunjwaji wa katiba kuhusu wabunge wasio na Chama kula kodi zetu kupitia ubunge usio halal.

Фото профиля Sadock Kabuko
Sadock Kabuko1 год назад

Jamaa roho inamuuma sana 😅

Фото профиля Latino mafia
Latino mafia1 год назад

Wamezoea kubebwa😂😂😂ngoma ikiwa haki bin haki tunasikia milio. Ata mechi ya Namungo angechezesha Arajiga na yenyewe ingekula kwenu

Фото профиля Arnold Komba
Arnold Komba1 год назад

Pasuka kabisa chezeni mpira karia karia ndio anacheza?

Фото профиля Tenende
Tenende1 год назад

Hatima yako kwenye chama chako hujaijua bado unapoteza muda kufatilia mpira

Похожие видео