Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

MASHABIKI tunateseka sana….hamjui tyu!!….😀😀

44,591 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Alexander A Msoffe's profile picture
Alexander A Msoffe1 year ago

Huyu shabiki au mwehu🤣🤣 kuna post niliona inasema "shabiki wa yanga timu ikipoteza wanawalaumu wachezaji, shabiki wa Simba wanalaumu GSM, wazee wa Yanga,TFF, Boad ya Ligi, Marefa n.k." Fact ndio hii ya huyu mwehu.

Ottoman's profile picture
Ottoman1 year ago

Maumivu take kama ya timu mjomba wako FAM aliyoyapata na timu yake🤣🤣

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

take the journey

Livin Athanas Silayo's profile picture
Livin Athanas Silayo1 year ago

Uzuri wa haya mateso huwa tunapokezana kwa zamu..... tarehe 8 yanahamia upande wa pili. 😂

king von Jr's profile picture
king von Jr1 year ago

Hakuna kitu nafurahi nikiona shabiki wa kolo anateseka😂

OG's profile picture
OG1 year ago

Kumbe aliemchapa makofi huyu na kulia lia kutafuta huruma , Hakukosea kabisa

Charles Tarimo's profile picture
Charles Tarimo1 year ago

Kama wananchi tunavyoteseka juu ya uvunjwaji wa katiba kuhusu wabunge wasio na Chama kula kodi zetu kupitia ubunge usio halal.

Sadock Kabuko's profile picture
Sadock Kabuko1 year ago

Jamaa roho inamuuma sana 😅

Latino mafia's profile picture
Latino mafia1 year ago

Wamezoea kubebwa😂😂😂ngoma ikiwa haki bin haki tunasikia milio. Ata mechi ya Namungo angechezesha Arajiga na yenyewe ingekula kwenu

Arnold Komba's profile picture
Arnold Komba1 year ago

Pasuka kabisa chezeni mpira karia karia ndio anacheza?

Tenende's profile picture
Tenende1 year ago

Hatima yako kwenye chama chako hujaijua bado unapoteza muda kufatilia mpira

Related Videos