Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Masikitiko ni mengi sana😀😀
48,966 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Pumbavu kweli hili

Jamaa kakaririshwa script, halafu hana kipaji.. 🤣🤣🤣. Tafuteni watu wenye hata talent kidogo ya kuigiza kwenye hizi issue. Mbona wa kule Yombo wameweza?

Lemutuz TV ni media ya marehemu William Malecela ambaye alikua kada wa CCM. Baada ya kifo chake, ukoo uliadhimia kwamba media hii iwe chini ya Samwel Malecela ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi CCM, Dodoma. Propaganda! Propaganda! Propaganda!

Kuna amani hapa ama Kuna ujinga kichwani umetujaa na siku ukijua ukweli tu muda wako wa kuishi nahisi utakuwa mwisho maana kimuonekano ni mtu timam lakini kumbe akili kumtako 🤭🤭🤭

Kwahyo kenya wanamwaga damu 😤

Upeo wake wa kufikiri ni mfupi kama wa Samia. Kmmk 😡

Kuna watu vichwa maji kweli

Hawasikitiki hali ya Vijana kukosa ajira na hali ngumu ya kimaisha kwa Wananchi.

Mnadhani huyu chama gani?

Huna akili.
