ๆญฃๅจๅ ่ฝฝ่ง้ข...
่ง้ขๅ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ
Mchome leo kasema ukweli mtupuโฆ..๐๐๐๐
64,502 ๆฌก่ง็ โข 2 ๅนดๅ โขvia X (Twitter)
61 ๆก่ฏ่ฎบ

Simba jobless wananunua tiketi Yanga wana kazi zao mjini wanasubiri fungulia dog Hayo ndo maajabu ya hii nchi ๐

@chinedudp ๐

pesa za tiketi wanapata wapi kama hawana kazi kama 5,000/=.Shabiki wa yanga element kwenye soda ya 10,000/= anafikaje mbona anaongea pumba au tunasubilia tiketi za bure ndio tukajazane uwanjani kama yanga. SIMBA hatupendi vya bure yanga vya bule ndio michezo yao. UBAYA UBWELA

๐

au nimedanganya umati

Mimi sijajua ila ngoja wengine waje waseme

Mbona ugomvi sasa๐

@mee_nicodemus Watu wajinga bongo ndo upewa umaarufu

@mee_nicodemus Hata siasa si unaona zinakimbiliwa na watu flani hivi wengi amnazo ilimradi ujue kupepeta Mdomo

Hizi mambo muwe mnapost Facebook huko, waungwana wa X wote ni simba. Sas cjui unatak nn mzee

Hujalazimishwa ku-comment au kupitia hii poat mkuu

Easy bro, am kidding ๐

@NGiyabhe ubaya ubwela anawaua wenzake ๐๐ @rahma_hassani udugu umala ๐๐

This guy is clueless. Three quarters ya mashabiki wa Yanga ninaowafahamu mimi kama mimi ni jobless and sioni kama ni kosa lao but na kwenda uwanjani hawaendi..

sawa mkuu

Jobless wa Simba wanafedha mpaka wanajaza uwanja full house. Yeye mkomaa sura ana nini ๐

๐

Mwamba ana fact nyingi sana ๐

kabisa๐

Anadhalilisha watu wafupi wanaonekana wote hawana akili

Jobless anabeba familia kwenda Taifa akaangalie mechi ambayo ina kiingilio, na jezi za elfu 40 familia inakuwa imezivaa. Mbona Jobless mimi hata nauli tu ya kufika taifa nakosa achilia mbali kiingilio??

We jamaa ungekuwa na kazi si ungenyoa nywele. Buku tu ya kunyoa huna alafu unasema jobles, mada ya faka wew

Huyu jamaa ipo siku atawekwa kwenye 18 za wanasimba nadhani toka hapo atakaa kimya.

๐

Kwaiyo anahamasisha mashabik wa Yanga wasiende kuangalia Mpira wakafanye stare nyingine

sijui sasa

Kwahiyo Jamaa kaamua kupiga contents kutumia simba sio

๐

Simba ina followers wengi kuliko Yanga Kwenye Mitandaoni yote, wengi kuliko Yanga.vep na hawa followers ni ma jobless

sijui ๐

Hata kama ni jobless ila wanatumua hela zao ila yanga sasa wanafungulia dog

To be honest huyu hajawah ongea jema Lolote kuhusu simba Muda wowote lazima awe negative haoni kizuri kwa simba chochote huyu sio mpenda soka kabisa

๐

Jamaa anatuchukia kinouma hata tushinde makombe atasema tumehonga ๐

kila siku yupo na jipya๐

Sas mechi ya simba day utaskia maneno Yake๐๐

๐

Pointless

sawa

Matako ya Mama yake na Mkundu wake huyu jamaa! Mwambie Content haitafutwi ivyo! Mada faka

Acha upuuzi mbwa ww

Kubwa jinga

Jamaa ajichunge sana

@Bin_Assadi ๐

Kumbe kuliwa wanaliwa wengi... one of them ni huyu!

Huyu si ndo anajifanyaga shabiki wa Simba ๐๐๐๐๐ .anavaa jersey

๐

Kwa hiyo wale walio kwenda kunjwa supu wote wame ajiriwa na gsm ndio una cho taka kusema au sija kuelewa vezuri

Huyu anaitafuta kazi ya usemaji Yanga kwa nguvu sana

Ataipata Manara akifungiwa tena๐

aongeze juhudi

Ngoja tumuweke kipolo acha tuisave hii

Huyo mchunguzen hata D moja hana mbumaba tu walipata wapi pesa kamw haeafanyi kazi

Only Fools, Fools themselves when nothing to Fool you. So keep Fooling yourself you Foolish.

sawa

Huyu ni boya kama wenzake tu,

Mpuuzi huyu

๐

Jamaa anaongea kitu ambacho hakipo kama ni jobless ticket wanakataje na familia zao pesa wanatoa wap

Wazee wa kwenda kwenye supu za bule ndio wanakazi

Haters
็ธๅ ณ่ง้ข
Huyu aliambia politician ukweli kwa matanga vita ikatokoe๐๐
Tavaz
30,931 ๆฌก่ง็ โข 22 ๅคฉๅ
Ni kama kuna ukweli hapa๐
โโ'โโกโโกโโโฃ๐๐ฐ๐ช
94,856 ๆฌก่ง็ โข 5 ไธชๆๅ
