Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Mungu Akubariki Baba Askofu.

148,531 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Odhiambo Cairo's profile picture
Odhiambo Cairo1 year ago

Huyu mtumishi kasema kinachotakiwa kuhubiriwa na kila mTanzania. Ukweli usioegemea. Lakini ccm watatafuta sababu za hovyo kukwepa. Oohh muda hautoshi mara amani na ujinga mwingi.

Mr.Adventure's profile picture
Mr.Adventure1 year ago

Father Pisa...very smart and humble man wale wa St.Augustine university wanamfahamu vizuri

Mathias Sadock's profile picture
Mathias Sadock1 year ago

Mabadilik ni muhimu

Gmmytz🇹🇿's profile picture
Gmmytz🇹🇿1 year ago

Tasisi zoote za dini na viongozi wake waliochaguliwa na watu kwa nguvu ya Mungu hawezi kupata usingizi hata Kidogo wakt taifa linaharibiw na watu wanaojifanya wao ndo wenye nchi bila kujua nchi ni ya wananchi..! makanisa yote tz yawahamasishe waumin kutoshiriki uchafuzi

Gambo Jr.'s profile picture
Gambo Jr.1 year ago

Nimempenda sana huyu askofu ....very proud of you mtu wa Mungu. Tanzania ifike mahali watumishi wa Mungu wawe wakweli na wahaki. Midomo yao ihubiri ukweli na haki siku zote ...tutafika tu!

MR +'s profile picture
MR +1 year ago

Siburi BAKWATA Sasa 🙂🙂🙂Tutakuwa na Dua ya kumwombea bimkubwa afya njema

Inspecta's profile picture
Inspecta1 year ago

Kama wanaona aibu kumuachia waturuhusu tukamuchukue wenyewe alafu tumtembeze road kama shujaa

Nzalang Nacional Wanabies's profile picture
Nzalang Nacional Wanabies1 year ago

ROMA LACUTA FINITO🔥🔥🔥🔥

Bwoi sama's profile picture
Bwoi sama1 year ago

Hii nchi inabidi tuikombee tena ✌️🔥

Baba Vickram Aditya Bedi's profile picture
Baba Vickram Aditya Bedi1 year ago

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

jackson's profile picture
jackson1 year ago

Kila mtu niwakati wakuisikiliza dhamira yake nakuamua kulingana na dhamirayake bila woga bila unafiki

Related Videos