Sensitive content
This media may contain sensitive content.
Loading video...
Video Failed to Load
Mungu Akubariki Baba Askofu.
148,531 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Huyu mtumishi kasema kinachotakiwa kuhubiriwa na kila mTanzania. Ukweli usioegemea. Lakini ccm watatafuta sababu za hovyo kukwepa. Oohh muda hautoshi mara amani na ujinga mwingi.

Father Pisa...very smart and humble man wale wa St.Augustine university wanamfahamu vizuri

Mabadilik ni muhimu

Tasisi zoote za dini na viongozi wake waliochaguliwa na watu kwa nguvu ya Mungu hawezi kupata usingizi hata Kidogo wakt taifa linaharibiw na watu wanaojifanya wao ndo wenye nchi bila kujua nchi ni ya wananchi..! makanisa yote tz yawahamasishe waumin kutoshiriki uchafuzi

Nimempenda sana huyu askofu ....very proud of you mtu wa Mungu. Tanzania ifike mahali watumishi wa Mungu wawe wakweli na wahaki. Midomo yao ihubiri ukweli na haki siku zote ...tutafika tu!

Siburi BAKWATA Sasa 🙂🙂🙂Tutakuwa na Dua ya kumwombea bimkubwa afya njema

Kama wanaona aibu kumuachia waturuhusu tukamuchukue wenyewe alafu tumtembeze road kama shujaa

ROMA LACUTA FINITO🔥🔥🔥🔥

Hii nchi inabidi tuikombee tena ✌️🔥

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

Kila mtu niwakati wakuisikiliza dhamira yake nakuamua kulingana na dhamirayake bila woga bila unafiki
