Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Mungu Akubariki Baba Askofu.

148,531 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Odhiambo Cairo
Odhiambo Cairo1 год назад

Huyu mtumishi kasema kinachotakiwa kuhubiriwa na kila mTanzania. Ukweli usioegemea. Lakini ccm watatafuta sababu za hovyo kukwepa. Oohh muda hautoshi mara amani na ujinga mwingi.

Фото профиля Mr.Adventure
Mr.Adventure1 год назад

Father Pisa...very smart and humble man wale wa St.Augustine university wanamfahamu vizuri

Фото профиля Mathias Sadock
Mathias Sadock1 год назад

Mabadilik ni muhimu

Фото профиля Gmmytz🇹🇿
Gmmytz🇹🇿1 год назад

Tasisi zoote za dini na viongozi wake waliochaguliwa na watu kwa nguvu ya Mungu hawezi kupata usingizi hata Kidogo wakt taifa linaharibiw na watu wanaojifanya wao ndo wenye nchi bila kujua nchi ni ya wananchi..! makanisa yote tz yawahamasishe waumin kutoshiriki uchafuzi

Фото профиля Gambo Jr.
Gambo Jr.1 год назад

Nimempenda sana huyu askofu ....very proud of you mtu wa Mungu. Tanzania ifike mahali watumishi wa Mungu wawe wakweli na wahaki. Midomo yao ihubiri ukweli na haki siku zote ...tutafika tu!

Фото профиля MR +
MR +1 год назад

Siburi BAKWATA Sasa 🙂🙂🙂Tutakuwa na Dua ya kumwombea bimkubwa afya njema

Фото профиля Inspecta
Inspecta1 год назад

Kama wanaona aibu kumuachia waturuhusu tukamuchukue wenyewe alafu tumtembeze road kama shujaa

Фото профиля Nzalang Nacional Wanabies
Nzalang Nacional Wanabies1 год назад

ROMA LACUTA FINITO🔥🔥🔥🔥

Фото профиля Bwoi sama
Bwoi sama1 год назад

Hii nchi inabidi tuikombee tena ✌️🔥

Фото профиля Baba Vickram Aditya Bedi
Baba Vickram Aditya Bedi1 год назад

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

Фото профиля jackson
jackson1 год назад

Kila mtu niwakati wakuisikiliza dhamira yake nakuamua kulingana na dhamirayake bila woga bila unafiki

Похожие видео