Loading video...
Video Failed to Load
Nimeipenda hii sana.❤️
52,073 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Mimi hadi kidato cha pili cha pili nilikuwa nikipangwa morning talk nakula nyoya kuongea mbele za watu hadi leo hii 30's siwezi😀

Hiv hawa watoto ni elimu ndo inawafanya wajue kuongea vizr hiv au malezi au wengine ni born with?

Mtoto kama huyu kila mzaz anatamani kuwa nae. she is bright ❤️

take the journey

Huu ushuhuda haujapangwa wala kua scripted mahali pure testimony pure soul pure heart

Ila sema pastoyana nyashi ya kwenda

Haya ni malezi bora kwa wazazi wake na walimu wake . Sio wale wa kufunza watoto kuchamba . Hongera kwa hii family na kiongozi wao wa dini kwa kumsapoti mtoto pia . 🤝🤝🤝🤝🔥

Hili kanisa liko wapi,Nina shida na mama mchungaji.

❤❤❤❤

Mahali nimechoka mtoto kajichanga akamtunze ma mtumish

Kwanini wanangu hawako ivi? Au mungu kawapa vipawa vingine?
