Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

72,890 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Uncledawaog's profile picture
Uncledawaog2 years ago

Maoni kama haya wabunge hawapigi makofi Nchii imejaa matapeli hii

Glory's profile picture
Glory2 years ago

Yaaani nchi imejaa wezi in buying those posh car there is 10 percent

Omy's profile picture
Omy2 years ago

TATIZO Ni wananchi wenyewe tunakosea kuwa na msimamo, viongozi wanatuona wapumbavu, ilitakiwa kuwe na direct power kutoka Kwa wananchi kupitia maandamano , na spaces

Glory's profile picture
Glory2 years ago

@OmaryAbdal14362 This is what we lack wakenya hayo maandamano wameyapangia tiktok

🥸..'s profile picture
🥸..2 years ago

Viongozi hawajali kuhusu wananchi. Wanajali starehe zao Tu. So sad.

Glory's profile picture
Glory2 years ago

Ni kwa kuwa wananchi hatujawafanya watujali

FARASI MWEUPE's profile picture
FARASI MWEUPE2 years ago

Hivi hawa wakuu nanani nilazima watembelee v8

Glory's profile picture
Glory2 years ago

Si wametuona sisi mazombi

NYATA 🛠's profile picture
NYATA 🛠2 years ago

Huwez sikia meza ikigongwa kwny hoja kama hizi sabab zinakatisha kakitu, ts very interesting 🙌

kabaitiJr's profile picture
kabaitiJr2 years ago

Aiseeee mambo kama haya huoni yanazungumzwa humu X na wazeee wa 30k wao ni mapambio tuu @Eric__Bernard @__abdulazack izi clip huwa hamzioni mkapost

Related Videos