Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

72,890 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Uncledawaog
Uncledawaogvor 2 Jahren

Maoni kama haya wabunge hawapigi makofi Nchii imejaa matapeli hii

Profilbild von Glory
Gloryvor 2 Jahren

Yaaani nchi imejaa wezi in buying those posh car there is 10 percent

Profilbild von Omy
Omyvor 2 Jahren

TATIZO Ni wananchi wenyewe tunakosea kuwa na msimamo, viongozi wanatuona wapumbavu, ilitakiwa kuwe na direct power kutoka Kwa wananchi kupitia maandamano , na spaces

Profilbild von Glory
Gloryvor 2 Jahren

@OmaryAbdal14362 This is what we lack wakenya hayo maandamano wameyapangia tiktok

Profilbild von 🥸..
🥸..vor 2 Jahren

Viongozi hawajali kuhusu wananchi. Wanajali starehe zao Tu. So sad.

Profilbild von Glory
Gloryvor 2 Jahren

Ni kwa kuwa wananchi hatujawafanya watujali

Profilbild von FARASI MWEUPE
FARASI MWEUPEvor 2 Jahren

Hivi hawa wakuu nanani nilazima watembelee v8

Profilbild von Glory
Gloryvor 2 Jahren

Si wametuona sisi mazombi

Profilbild von NYATA 🛠
NYATA 🛠vor 2 Jahren

Huwez sikia meza ikigongwa kwny hoja kama hizi sabab zinakatisha kakitu, ts very interesting 🙌

Profilbild von kabaitiJr
kabaitiJrvor 2 Jahren

Aiseeee mambo kama haya huoni yanazungumzwa humu X na wazeee wa 30k wao ni mapambio tuu @Eric__Bernard @__abdulazack izi clip huwa hamzioni mkapost

Ähnliche Videos