Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Nimeumia sana

72,890 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Uncledawaog
Uncledawaog2 лет назад

Maoni kama haya wabunge hawapigi makofi Nchii imejaa matapeli hii

Фото профиля Glory
Glory2 лет назад

Yaaani nchi imejaa wezi in buying those posh car there is 10 percent

Фото профиля Omy
Omy2 лет назад

TATIZO Ni wananchi wenyewe tunakosea kuwa na msimamo, viongozi wanatuona wapumbavu, ilitakiwa kuwe na direct power kutoka Kwa wananchi kupitia maandamano , na spaces

Фото профиля Glory
Glory2 лет назад

@OmaryAbdal14362 This is what we lack wakenya hayo maandamano wameyapangia tiktok

Фото профиля 🥸..
🥸..2 лет назад

Viongozi hawajali kuhusu wananchi. Wanajali starehe zao Tu. So sad.

Фото профиля Glory
Glory2 лет назад

Ni kwa kuwa wananchi hatujawafanya watujali

Фото профиля FARASI MWEUPE
FARASI MWEUPE2 лет назад

Hivi hawa wakuu nanani nilazima watembelee v8

Фото профиля Glory
Glory2 лет назад

Si wametuona sisi mazombi

Фото профиля NYATA 🛠
NYATA 🛠2 лет назад

Huwez sikia meza ikigongwa kwny hoja kama hizi sabab zinakatisha kakitu, ts very interesting 🙌

Фото профиля kabaitiJr
kabaitiJr2 лет назад

Aiseeee mambo kama haya huoni yanazungumzwa humu X na wazeee wa 30k wao ni mapambio tuu @Eric__Bernard @__abdulazack izi clip huwa hamzioni mkapost

Похожие видео