正在加载视频...

视频加载失败

Nimeumia sana

72,890 次观看 • 2 年前 •via X (Twitter)

10 条评论

Uncledawaog 的头像
Uncledawaog2 年前

Maoni kama haya wabunge hawapigi makofi Nchii imejaa matapeli hii

Glory 的头像
Glory2 年前

Yaaani nchi imejaa wezi in buying those posh car there is 10 percent

Omy 的头像
Omy2 年前

TATIZO Ni wananchi wenyewe tunakosea kuwa na msimamo, viongozi wanatuona wapumbavu, ilitakiwa kuwe na direct power kutoka Kwa wananchi kupitia maandamano , na spaces

Glory 的头像
Glory2 年前

@OmaryAbdal14362 This is what we lack wakenya hayo maandamano wameyapangia tiktok

🥸.. 的头像
🥸..2 年前

Viongozi hawajali kuhusu wananchi. Wanajali starehe zao Tu. So sad.

Glory 的头像
Glory2 年前

Ni kwa kuwa wananchi hatujawafanya watujali

FARASI MWEUPE 的头像
FARASI MWEUPE2 年前

Hivi hawa wakuu nanani nilazima watembelee v8

Glory 的头像
Glory2 年前

Si wametuona sisi mazombi

NYATA 🛠 的头像
NYATA 🛠2 年前

Huwez sikia meza ikigongwa kwny hoja kama hizi sabab zinakatisha kakitu, ts very interesting 🙌

kabaitiJr 的头像
kabaitiJr2 年前

Aiseeee mambo kama haya huoni yanazungumzwa humu X na wazeee wa 30k wao ni mapambio tuu @Eric__Bernard @__abdulazack izi clip huwa hamzioni mkapost

相关视频