Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Ogopa sana teknolojia !!

59,038 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

SATIVA17's profile picture
SATIVA172 years ago

Huyu NI TAPELI

V E N N A📸's profile picture
V E N N A📸2 years ago

Hapa kuna namna watu wamepiga pesa😅

Classic Cars's profile picture
Classic Cars2 years ago

Hawa matapeli wametumwa na Try again na Mangungu

Johnstone Japhet's profile picture
Johnstone Japhet2 years ago

😂😂

Charlotte 🇨🇦's profile picture
Charlotte 🇨🇦2 years ago

Ndo maana tumesema baada ya kumaliza kuropoka kwenye Press ajiuzuru

Daniel Benson Mwandi's profile picture
Daniel Benson Mwandi2 years ago

Hivi mfano MO akaondoka na kuiacha Simba huyu anaweza kumsajili mchezaji hata milioni tano tuuu?

ABDUL EL BATTAWY's profile picture
ABDUL EL BATTAWY2 years ago

Hawa ndio vijana mnaosema tuwaamini tuwape nafasi

Nina stori kama hiyo's profile picture
Nina stori kama hiyo2 years ago

Lazima ulinde brand ila yakikushinda unasema ukweli sio shida… mwanzo aliongopa kwa kuwa mambo yalikuwa ya kifamilia sasa watu wanatudidimiza hawataki ufamilia kaamua aseme ukweli.. kocha wa makipa ameshasema kuwa wakitaka simba iwe inashinda au kuchukua makombe wafukuzwe wote

Kallaye, H's profile picture
Kallaye, H2 years ago

Huyo CPA na wajumbe wenzake waondoke walikuwa wapi muda wote huo kusema walioyosema leo? Ona sasa aanajiumbua ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu

Material KD's profile picture
Material KD2 years ago

Yeye kama haridhishwi na management ya mo dewji si atoke tu ..... mpira unahitaji pesa Kama tunaanza kuwafanyia figisu wawekezaji mpira hautofika mbali

Related Videos