Loading video...
Video Failed to Load
Ogopa sana teknolojia !!
59,038 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

Huyu NI TAPELI

Hapa kuna namna watu wamepiga pesa😅

Hawa matapeli wametumwa na Try again na Mangungu

😂😂

Ndo maana tumesema baada ya kumaliza kuropoka kwenye Press ajiuzuru

Hivi mfano MO akaondoka na kuiacha Simba huyu anaweza kumsajili mchezaji hata milioni tano tuuu?

Hawa ndio vijana mnaosema tuwaamini tuwape nafasi

Lazima ulinde brand ila yakikushinda unasema ukweli sio shida… mwanzo aliongopa kwa kuwa mambo yalikuwa ya kifamilia sasa watu wanatudidimiza hawataki ufamilia kaamua aseme ukweli.. kocha wa makipa ameshasema kuwa wakitaka simba iwe inashinda au kuchukua makombe wafukuzwe wote

Huyo CPA na wajumbe wenzake waondoke walikuwa wapi muda wote huo kusema walioyosema leo? Ona sasa aanajiumbua ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu

Yeye kama haridhishwi na management ya mo dewji si atoke tu ..... mpira unahitaji pesa Kama tunaanza kuwafanyia figisu wawekezaji mpira hautofika mbali
