Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

OUT NOW ‼️ #MIMI_NI_NANI⁉️ LINK 👇🏻

127,000 views • 3 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Mr Health💊💉's profile picture
Mr Health💊💉3 years ago

Hii nyimbo imeniacha na maswali mengi kichwani sijajuwa ata yajibu Nani..??😨🥺

i.m_roscoe's profile picture
i.m_roscoe3 years ago

Unajua kuteka hisia za watu kaka hapa ndo nimeamini msanii lazima ujue kuteka hisia za mashabiki

Maprosoo's profile picture
Maprosoo3 years ago

Mi Nacheka sana😃😅 Kuna vitu vingi vya maana vya kuimba kila kona Sasa, inakuaje unataja taja majina Nyimbo nzima tena…. “Afande sele et al(2003) Darubini Kali

lazarous@tz🇹🇿's profile picture
lazarous@tz🇹🇿3 years ago

Hii nyimbo roma umetupiga mzee au niisikilize tena labda ntaelewa neno kuuwa umelitaja mara nyingi kuliko hata biti lenyewe ni siwe mnafiki hapa sikupi maua nakupa maandazi .

jose junior's profile picture
jose junior3 years ago

Verse 1. NYERERE HAKUFA KWA kansa ya damu mnajidanganya na wengi hamjanifahamu nilimuaa mwalimu huko uingereza mv spice ile ajali nilitengeneza 😀😀🙌🏿 Sauzi wakasema uje umuue ruge Verse 2. sina mipaka ndo mana nkautoa uhai wa mkapa mpaka mnazika sikusita kumfuata MAGU!!!!🤣🙌🏿

ITALIANO's profile picture
ITALIANO3 years ago

Hamna kitu bro,hamna mvuto wowote this is 2023 unatuletea nyimbo ya kutaja majina mwanzo mwisho,wee ni nani asa ndo nini??😂😂 daah

Zee la Vyeti (PhD)'s profile picture
Zee la Vyeti (PhD)3 years ago

Chumaaaa

jose junior's profile picture
jose junior3 years ago

Roma mjanjaa sana 😀😀anamix mix vitu ili tusimuelewe anaongea nn sema nmekusoma man ngoma kali hii umejua kumix nidiz za maharage na nyama sahani moja ili tusijue hii ni protein ama carbohydrates kudadeki

felixgenius_077's profile picture
felixgenius_0773 years ago

Amna kitu brother umetusumbua bule kabisa kwa uwandishi wa kitoto kama hu bora nikasikilize KIFO YA TOXIC ameandika sana mule lakin sio hi yako 😥😥

Bank Seven's profile picture
Bank Seven3 years ago

Wewe ni kifo kitokanacho na Siasa unaua kwa ajili ya maslahi yako na inapotokea kuna ajenda ya Taifa basi utaua ili kupindisha au kusahaulisha watu hiyo ajenda.

Related Videos