Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

OUT NOW ‼️ #MIMI_NI_NANI⁉️ LINK 👇🏻

126,985 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Mr Health💊💉
Mr Health💊💉3 лет назад

Hii nyimbo imeniacha na maswali mengi kichwani sijajuwa ata yajibu Nani..??😨🥺

Фото профиля i.m_roscoe
i.m_roscoe3 лет назад

Unajua kuteka hisia za watu kaka hapa ndo nimeamini msanii lazima ujue kuteka hisia za mashabiki

Фото профиля Maprosoo
Maprosoo3 лет назад

Mi Nacheka sana😃😅 Kuna vitu vingi vya maana vya kuimba kila kona Sasa, inakuaje unataja taja majina Nyimbo nzima tena…. “Afande sele et al(2003) Darubini Kali

Фото профиля lazarous@tz🇹🇿
lazarous@tz🇹🇿3 лет назад

Hii nyimbo roma umetupiga mzee au niisikilize tena labda ntaelewa neno kuuwa umelitaja mara nyingi kuliko hata biti lenyewe ni siwe mnafiki hapa sikupi maua nakupa maandazi .

Фото профиля jose junior
jose junior3 лет назад

Verse 1. NYERERE HAKUFA KWA kansa ya damu mnajidanganya na wengi hamjanifahamu nilimuaa mwalimu huko uingereza mv spice ile ajali nilitengeneza 😀😀🙌🏿 Sauzi wakasema uje umuue ruge Verse 2. sina mipaka ndo mana nkautoa uhai wa mkapa mpaka mnazika sikusita kumfuata MAGU!!!!🤣🙌🏿

Фото профиля ITALIANO
ITALIANO3 лет назад

Hamna kitu bro,hamna mvuto wowote this is 2023 unatuletea nyimbo ya kutaja majina mwanzo mwisho,wee ni nani asa ndo nini??😂😂 daah

Фото профиля Zee la Vyeti (PhD)
Zee la Vyeti (PhD)3 лет назад

Chumaaaa

Фото профиля jose junior
jose junior3 лет назад

Roma mjanjaa sana 😀😀anamix mix vitu ili tusimuelewe anaongea nn sema nmekusoma man ngoma kali hii umejua kumix nidiz za maharage na nyama sahani moja ili tusijue hii ni protein ama carbohydrates kudadeki

Фото профиля felixgenius_077
felixgenius_0773 лет назад

Amna kitu brother umetusumbua bule kabisa kwa uwandishi wa kitoto kama hu bora nikasikilize KIFO YA TOXIC ameandika sana mule lakin sio hi yako 😥😥

Фото профиля Bank Seven
Bank Seven3 лет назад

Wewe ni kifo kitokanacho na Siasa unaua kwa ajili ya maslahi yako na inapotokea kuna ajenda ya Taifa basi utaua ili kupindisha au kusahaulisha watu hiyo ajenda.

Похожие видео