Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

OUT NOW ‼️ #MIMI_NI_NANI⁉️ LINK 👇🏻

127,000 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Mr Health💊💉
Mr Health💊💉vor 3 Jahren

Hii nyimbo imeniacha na maswali mengi kichwani sijajuwa ata yajibu Nani..??😨🥺

Profilbild von i.m_roscoe
i.m_roscoevor 3 Jahren

Unajua kuteka hisia za watu kaka hapa ndo nimeamini msanii lazima ujue kuteka hisia za mashabiki

Profilbild von Maprosoo
Maprosoovor 3 Jahren

Mi Nacheka sana😃😅 Kuna vitu vingi vya maana vya kuimba kila kona Sasa, inakuaje unataja taja majina Nyimbo nzima tena…. “Afande sele et al(2003) Darubini Kali

Profilbild von lazarous@tz🇹🇿
lazarous@tz🇹🇿vor 3 Jahren

Hii nyimbo roma umetupiga mzee au niisikilize tena labda ntaelewa neno kuuwa umelitaja mara nyingi kuliko hata biti lenyewe ni siwe mnafiki hapa sikupi maua nakupa maandazi .

Profilbild von jose junior
jose juniorvor 3 Jahren

Verse 1. NYERERE HAKUFA KWA kansa ya damu mnajidanganya na wengi hamjanifahamu nilimuaa mwalimu huko uingereza mv spice ile ajali nilitengeneza 😀😀🙌🏿 Sauzi wakasema uje umuue ruge Verse 2. sina mipaka ndo mana nkautoa uhai wa mkapa mpaka mnazika sikusita kumfuata MAGU!!!!🤣🙌🏿

Profilbild von ITALIANO
ITALIANOvor 3 Jahren

Hamna kitu bro,hamna mvuto wowote this is 2023 unatuletea nyimbo ya kutaja majina mwanzo mwisho,wee ni nani asa ndo nini??😂😂 daah

Profilbild von Zee la Vyeti (PhD)
Zee la Vyeti (PhD)vor 3 Jahren

Chumaaaa

Profilbild von jose junior
jose juniorvor 3 Jahren

Roma mjanjaa sana 😀😀anamix mix vitu ili tusimuelewe anaongea nn sema nmekusoma man ngoma kali hii umejua kumix nidiz za maharage na nyama sahani moja ili tusijue hii ni protein ama carbohydrates kudadeki

Profilbild von felixgenius_077
felixgenius_077vor 3 Jahren

Amna kitu brother umetusumbua bule kabisa kwa uwandishi wa kitoto kama hu bora nikasikilize KIFO YA TOXIC ameandika sana mule lakin sio hi yako 😥😥

Profilbild von Bank Seven
Bank Sevenvor 3 Jahren

Wewe ni kifo kitokanacho na Siasa unaua kwa ajili ya maslahi yako na inapotokea kuna ajenda ya Taifa basi utaua ili kupindisha au kusahaulisha watu hiyo ajenda.

Ähnliche Videos