Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Sikieni hiliii jamani

16,658 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Mchomvu ink profil fotoğrafı
Mchomvu ink2 yıl önce

Ni kweli anachosema kwenye dini ya ki Islam kuna mlango wa dharura sio kwenye ngurue tu vitu vingi kama kuna kitu unaweza ukala kikaokoa uhai wako ni ruksa kabisa kula kuliko ukajiacha ukafa.Mwenyezi mungu anatupenda zaidi

mwimbih profil fotoğrafı
mwimbih2 yıl önce

Nakula nashiba ndiii alafu nasema astakafilullah napangusa makalio naondoka 😢

Nicky profil fotoğrafı
Nicky2 yıl önce

Usishibe😅😅😅

H E R R Y 🦉 profil fotoğrafı
H E R R Y 🦉2 yıl önce

Ndio ndio

KIFIMBO profil fotoğrafı
KIFIMBO2 yıl önce

Huyu jamaa anahubiri au anaongeaa story za vijiweni.

Jerry Mtitu profil fotoğrafı
Jerry Mtitu2 yıl önce

QURAN AL- BAQARA (2:173)

H E R R Y 🦉 profil fotoğrafı
H E R R Y 🦉2 yıl önce

Kumbe ni kweliii

GweMzee profil fotoğrafı
GweMzee2 yıl önce

Hakuna sehemu nguruwe yupo af hakuna chakula nguruwe hakai sehem ambayo haina chakula msitufanye wajinga

Garnet profil fotoğrafı
Garnet2 yıl önce

Hata uongo ni haramu lakini kama kuna mazingira hatarishi unatakiwa ujihami, ndio maana tukasema dini ya Uislam kamili

mang'ati msomi profil fotoğrafı
mang'ati msomi2 yıl önce

Mjadala mgumu sana huu kama kuna mahali utajaribu kutumia hiyo kitu auwezi acha Ilo imnyama tam sana usiambiwe uongo ana minyoo mbona ndio nyama inaongoza kwa kuliwa zaidi duniani kwenye starehe

Benzer Videolar