Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Sikiliza kwa makini⬇️
38,086 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Askofu wa Aglican Dayosisi ya Daresalaam Jackson Sostens. Ambacho watawala hawakielewi ni kwamba hawaogopwi. Wanaambiwa ukweli mbele halaiki. Watanyamazisha wangapi?🤔 Bangoza aliwaambia hata wakimmuua watazaliwa wengine. Ukweli ni kuwa hawahitaji kuzaliwa,tunao wengi tayari.

RC wa DSM,Chalamila anamwangalia Askofu kwa jicho kali.. anataka kupasuka... anajua yanayohubiriwa na huyo mwanafalsafa ni kweli.. atafanyaje wakati boss wake ni mumiani,na yeye anayo familia inamtegemea

Huu ndio wajibu wa Askofu mwenye roho wa Mungu.

Dah ila dini ya wenzetu ina viongozi bhn sio sisi kiukweli viongoz wetu wamekaa knafik san uchawa na kujpendekeza kwa viongoz ndo wanajau huwez kukuta akaongea hvi hata mbele ya mjumbe wa nyumba 10

Ccm imekua ikifanya kazi ya majambazi na wezi ikaa ha kazi yake ya msingi, mtumishi wa Mungu anawakumbusha hiyo si kazi Yao ni kazi ya Mungu alietoa na anaeweza kutwaa, nilihama ccm Kwa sababu ya Imani yangu hainiruhusu kushirikiana na hata kula nao nimekatazwa

Nimesikiliza ila nimeona kama uoga ndani yake ulitawala kwa kuzungmza maneno Yale yale muda nao haukuwa rafiki

Wale wajinga wajinga wa CCM watasema Padre ameingilia siasa aache Siasa. Jamaa makatili sana.

Namuona Chalamila na kichwa chake kama Nazi ya Mkuranga.

Na maneno haya yakawe laana kwa wale wote wenye mamlaka wanaotumia mamlaka hayo kuwapokonya wengine uhai.

Mkuu hivi unajua Tabia za Mbuzi, yaaaani ni kama unampigia gitaa haeleeeeewi.
