Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Sikiliza kwa makini⬇️

38,086 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Francis profil fotoğrafı
Francis1 yıl önce

Askofu wa Aglican Dayosisi ya Daresalaam Jackson Sostens. Ambacho watawala hawakielewi ni kwamba hawaogopwi. Wanaambiwa ukweli mbele halaiki. Watanyamazisha wangapi?🤔 Bangoza aliwaambia hata wakimmuua watazaliwa wengine. Ukweli ni kuwa hawahitaji kuzaliwa,tunao wengi tayari.

Lbato profil fotoğrafı
Lbato1 yıl önce

RC wa DSM,Chalamila anamwangalia Askofu kwa jicho kali.. anataka kupasuka... anajua yanayohubiriwa na huyo mwanafalsafa ni kweli.. atafanyaje wakati boss wake ni mumiani,na yeye anayo familia inamtegemea

Zumbe Atogolwe profil fotoğrafı
Zumbe Atogolwe1 yıl önce

Huu ndio wajibu wa Askofu mwenye roho wa Mungu.

JIBABA profil fotoğrafı
JIBABA1 yıl önce

Dah ila dini ya wenzetu ina viongozi bhn sio sisi kiukweli viongoz wetu wamekaa knafik san uchawa na kujpendekeza kwa viongoz ndo wanajau huwez kukuta akaongea hvi hata mbele ya mjumbe wa nyumba 10

Gasper Millanzi profil fotoğrafı
Gasper Millanzi1 yıl önce

Ccm imekua ikifanya kazi ya majambazi na wezi ikaa ha kazi yake ya msingi, mtumishi wa Mungu anawakumbusha hiyo si kazi Yao ni kazi ya Mungu alietoa na anaeweza kutwaa, nilihama ccm Kwa sababu ya Imani yangu hainiruhusu kushirikiana na hata kula nao nimekatazwa

ELIUD ELIAS profil fotoğrafı
ELIUD ELIAS1 yıl önce

Nimesikiliza ila nimeona kama uoga ndani yake ulitawala kwa kuzungmza maneno Yale yale muda nao haukuwa rafiki

𝐂𝐇𝐈𝐌𝐁𝐔𝐊𝐎 profil fotoğrafı
𝐂𝐇𝐈𝐌𝐁𝐔𝐊𝐎1 yıl önce

Wale wajinga wajinga wa CCM watasema Padre ameingilia siasa aache Siasa. Jamaa makatili sana.

BABY🪽 profil fotoğrafı
BABY🪽1 yıl önce

Namuona Chalamila na kichwa chake kama Nazi ya Mkuranga.

Olemakame profil fotoğrafı
Olemakame1 yıl önce

Na maneno haya yakawe laana kwa wale wote wenye mamlaka wanaotumia mamlaka hayo kuwapokonya wengine uhai.

Pancras Flahisha profil fotoğrafı
Pancras Flahisha1 yıl önce

Mkuu hivi unajua Tabia za Mbuzi, yaaaani ni kama unampigia gitaa haeleeeeewi.

Benzer Videolar