Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Sikiliza madini hayo.

55,516 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

msngi. profil fotoğrafı
msngi.1 yıl önce

@mpambazi Wauaji wakubwa hao

RedDeer.Games profil fotoğrafı
RedDeer.Games4 yıl önce

[NINTENDO] Exclusive Now Available ➡️ #AAAclock ➡️ #SwitchOnline #SwitchOLED

Batholomeo Thomas🇷🇺🇨🇳🇰🇵🇮🇷⚔️🎖️ profil fotoğrafı
Batholomeo Thomas🇷🇺🇨🇳🇰🇵🇮🇷⚔️🎖️1 yıl önce

Hakika kuzungumza vizur san pesa ni hewa nikitu ambacho hakina thamani kweli ndio maana ukienda kukopa pesa Bank unapewa hewa ambazo ni pesa unaandika shamba au kiwanja au nyumba kam dhamana hicho kitu hai na kinapanda thamani kwa % kubwa san na pesa ni kitu kinachoshuk thmn hrk

Stonesyphon profil fotoğrafı
Stonesyphon1 yıl önce

Hawa wakishatoka madarakani ndio wanatueleza haya

msngi. profil fotoğrafı
msngi.1 yıl önce

USA🇺🇲 NI GAIDI NAMBA MOJA DUNIANI AKISHIRIKIANA NA ISRAHELL 🔥🇮🇱 Hata lile tukio la sep 9/11 Waliliunda kisha wakawasingizia waislam ndio wakaenda kuzivamia nchi za mashariki ya kati

Kiongozi Kenge wa Nje Ndani profil fotoğrafı
Kiongozi Kenge wa Nje Ndani1 yıl önce

Sentensi ya mwisho amejitambulisha kama Muhaya 😄

Ras,nchimbi profil fotoğrafı
Ras,nchimbi1 yıl önce

Porojo za uswahilini.

Sia Da Vinci💎 profil fotoğrafı
Sia Da Vinci💎1 yıl önce

Hizi kwa ambaye shule hakwenda hawezi elewa.

EarthBoiZinhO profil fotoğrafı
EarthBoiZinhO1 yıl önce

watu muhimu tulionao nchini na wakujivunia🔥🔥🔥🔥

kenny profil fotoğrafı
kenny1 yıl önce

Ila vyombo vyetu vya habari bure kabisa vitu muhimu huyu mama kaongea hapo wao wamenakili sentensi ambayo haina context ya anachokisema ndo wameweka habari kichwa nan anawafunza hawa

Bin Kombo profil fotoğrafı
Bin Kombo1 yıl önce

Mtatuelewa tuuu Ubepari uliozaa mavi ya democracy ni ukoloni mambo leo Lol

Benzer Videolar

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Maafisa wa usalama kwa kushirikiana na Mamlaka nyingine za udhibiti wamefanikiwa kukamata madini ya almasi ghafi yaliyokuwa yanatoroshwa kinyume cha sheria na taratibu za usafirishaji wa madini kupitia Uwanja wa Ndege wa Mwanza ambapo madini hayo yana thamani ya zaidi ya Tsh. bilioni 1.700. Waziri Mavunde ameema hayo usiku wa kuamkia leo May 24,2025 wakati akiongea na Waandishi wa Habari Jijjni Mwanza “Napenda kuutarifu umma wa Watanzania kuwa, May 18, 2025 majira ya saa saba mchana, Maafisa wa usalama kwa kushirikiana na Mamlaka nyingine za udhibiti walifanikiwa kukamata madini ya almasi ghafi yaliyokuwa yanatoroshwa kinyume cha sheria na taratibu za usafirishaji wa Madini kupitia Uwanja wa Ndege wa Mwanza” “Katika tukio hilo, almasi ghafi yenye uzito wa karati 2,729.82 na thamani ya takriban USD 635,887.66 (sawa na Tsh. 1,715,434,129.67) yaligunduliwa yakiwa yamefichwa kwenye mabegi manne na Raia mmoja mwenye asili ya India kwa lengo la kuyasafirisha bila vibali halali wala kufuata taratibu za kisheria” “Wizara ya Madini imesikitishwa na kuchukizwa na jaribio hilo la utoroshaji wa rasilimali za Taifa, na inalaani vikali vitendo vya aina hiyo, ikumbukwe kuwa, utoroshaji wa madini ni kosa la jinai linaloikosesha nchi mapato na kudhoofisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa ujumla, hivyo naomba nitumie nafasi hii kuufahamisha Umma kuwa, uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika ili kubaini waliohusika na mtandao huu ili kuwafikisha katika vyombo vya sheria kwa mujibu wa sheria za nchi yetu. “Niwahakikishie kuwa, Serikali haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya wote watakaobainika kuhusika katika utoroshaji wa madini hayo ikiwa ni pamoja na kutaifisha madini hayo na kufuta leseni za kujishughulisha na shughuli za madini hapa nchini, Serikali haijalala na inaendelea kufanya oparesheni maalum usiku na mchana kubaini matukio yote ya aina hiyo nchi nzima ili kuendelea kulinda rasilimali madini yanayozalishwa nchini kwa manufaa ya Wananchi wa Tanzania na Taifa letu kwa ujumla” #MillardAyoUPDATES

millardayo

27,305 görüntüleme • 1 yıl önce