正在加载视频...
视频加载失败
SMART KEMBO apewe maua yake
10 条评论

@MdemuPolycarp Hivi vitu tulifanya DIT miaka 10 nyuma kama projects

@MdemuPolycarp Hii sasa ndio ingetumika kwenye fuel stations ila ndio hivyo hawezi kuikubali.

@MdemuPolycarp Sina maana ya kudiscourage ila this is something already done more than 10 years back. Hapa ni kukopy tuu

@MdemuPolycarp Jamaaa anaetengeneza hizo mashine wapo pale mikocheni jengo la myfair plaza Kampuni ya raia kutoka Ukraine inaitwa infuzia huyo smartkembo kaitoa wapi

@MdemuPolycarp Huyu mwamba ametusha sana aisee

@MdemuPolycarp Hii Iko mtaani watu wanaweka mia tano wanachota maji haukuti mtu pale ni kuweka Hela maji yanatokea then unaondoka. Kigamboni ipo

@MdemuPolycarp Nzuri,

@MdemuPolycarp Hizi technology zinauzwa Ali express Bei chee tu ni kuwa na knowledge ndogo tu jinsi ya kuziunganisha yaani simple tu

@MdemuPolycarp Kibongo hawezi enda popote maana akuna viongoz wazalendo kukuza maarifa ayo. Zaid wafanya biashara watagiza machine toka china kazi zake ziende

@MdemuPolycarp Alichofanya jamaa ni kufumua slot machine na kutuonesha mfumo wake wa nyaya, actually hizi zipo mitaani zinauza maji unanunua tu kwa mchina, Marekani zipo karibia nusu karne nyuma huko
