Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Proffesor Chris Peter Maina!! Apewe maua yake!!

38,781 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Eric Forrest profil fotoğrafı
Eric Forrest1 yıl önce

Hupati kitu maana hakuna kitu due to spoilers

Godson Salema profil fotoğrafı
Godson Salema1 yıl önce

.Naked truth 📌📌

𝑴𝑪 𝑲𝑶𝑴𝑩𝑶 profil fotoğrafı
𝑴𝑪 𝑲𝑶𝑴𝑩𝑶1 yıl önce

𝑱𝒂𝒋𝒊 𝒏𝒊 𝒎𝒃𝒂𝒚𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒕𝒂𝒋𝒘𝒂 𝒕𝒖 𝒋𝒊𝒏𝒂😂😂𝑴𝒇.𝑭𝒆𝒍𝒆𝒔𝒉𝒊

Dunstan Dunstan profil fotoğrafı
Dunstan Dunstan1 yıl önce

Mzee WANGU nilikuwa namuelewa sana wakati wa kuchokoza mada mbali mbali ktk majukwaa mungu amtunze

Gemini♊️♊️ profil fotoğrafı
Gemini♊️♊️1 yıl önce

👍👍

buheri thomas profil fotoğrafı
buheri thomas1 yıl önce

Professor kwa maana yake haswa!

KasomaJr profil fotoğrafı
KasomaJr1 yıl önce

Asante sana Prof Maina, Mungu aendelee kukulinda sana.

Mr Duny profil fotoğrafı
Mr Duny1 yıl önce

Naam,

Lida profil fotoğrafı
Lida1 yıl önce

💐💐

FutureElon profil fotoğrafı
FutureElon1 yıl önce

Wakili Jebra kambole, ukiwa unaendelea kupambana kuwapigania vijana wanaoshikiliwa na jeshi la polisi kwa makosa mbalimbali hasa ukosoaji ni vyema basi ukatoa elimu kwa hawa vijana wakiwa wanakosoa wasitumie matusi hasa kwa viongozi wetu wa kitaifa, lazima maadili yazingatiwe.

Benzer Videolar

Prof. Emeritus Chris Maina Peter alizungumzia ‘quality ya maamuzi’ ya Mahakama. Jaji Mkuu unataka Prof. Chris Maina apongeze Mahakama kwa 'quantity ya maamuzi' ambayo yanakuwa uploaded TANZLII. QUANTITY siyo QUALITY ya utoaji haki. Unaweza kuwa na QUANTITY ya maamuzi ya Mahakama lakini hayabebi taswira ya utoaji haki. Maamuzi yanapoteza QUALITY. Ndiyo HOJA ya Prof. Chris Maina. Huwezi kudogosha uwezo wa Prof. Emeritus Chris Maina Peter kwa kuwa tu hujapenda maoni yake. Unaweza kumchukia lakini maoni yake yatabaki kuwa ukweli ambao tunaona katika Mahakama zetu zote. Prof. Emeritus Chris Maina Peter alizungumzia ‘quality ya maamuzi’ ya Mahakama. Jaji Mkuu unataka Prof. Chris Maina apongeze Mahakama kwa 'quantity ya maamuzi' ambayo yanakuwa uploaded TanzLII. QUANTITY siyo QUALITY ya utoaji haki. Unaweza kuwa na QUANTITY ya maamuzi ya Mahakama TanzLII lakini hayabebi taswira ya utoaji haki. Maamuzi yanapoteza QUALITY. Ndiyo HOJA ya Prof. Chris Maina. Unaweza kuwa na maamuzi yanayojaza mabehewa yote SGR (quantity) lakini hayana ubora (quality). Maamuzi ya Mahakama kwa sasa yanaendeshwa na hisia za Serikali kuliko mizani ya utoaji haki. Ndiyo. TanzLII ni tovuti ya Serikali ya Tanzania inayochapisha maamuzi, sheria na kanuni. TanzLII inaruhusu ufikiaji bure wa maamuzi, sheria na kanuni. Pia, TanzLII ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya LIIs. Pia, huwezi kudogosha uwezo wa Prof. Emeritus Chris Maina Peter hata kama utamuita "yule mwananchi aliyekuwa analalamika". Heshima ya Prof. Chris Maina katika Jamii ni kubwa kuliko heshima yako. Prof. Emeritus Chris Maina Peter ni Mwanazuoni. Mwalimu wa Sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mwandishi wa kazi nyingi bora kama 'Independence of Judiciary in Tanzania; Many River to Cross' Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma, huwezi kuondoa heshima ya Prof. Emeritus Chris Maina Peter katika jamii ya Watanzania. Maoni yake kuhusu mfumo wa utoaji haki katika Mahakama TUTAISHI NAYO. Pata muda wako mzuri kabisa, sikiliza maoni ya Prof. Emeritus Chris Maina Peter halafu soma hicho kipeperushi cha Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma. Halafu linganisha nani anastahili kuwa Jaji Mkuu.

Martin Maranja Masese

24,655 görüntüleme • 1 yıl önce