Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

216,707 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Punjani's profile picture
Punjani1 year ago

@MdemuPolycarp Hivi vitu tulifanya DIT miaka 10 nyuma kama projects

𝔻𝕣. Pierre Binxete MSc 🩺🇹🇿's profile picture
𝔻𝕣. Pierre Binxete MSc 🩺🇹🇿1 year ago

@MdemuPolycarp Hii sasa ndio ingetumika kwenye fuel stations ila ndio hivyo hawezi kuikubali.

Asat Ayo's profile picture
Asat Ayo1 year ago

@MdemuPolycarp Sina maana ya kudiscourage ila this is something already done more than 10 years back. Hapa ni kukopy tuu

Donatha Msamba's profile picture
Donatha Msamba1 year ago

@MdemuPolycarp Jamaaa anaetengeneza hizo mashine wapo pale mikocheni jengo la myfair plaza Kampuni ya raia kutoka Ukraine inaitwa infuzia huyo smartkembo kaitoa wapi

Marc's profile picture
Marc1 year ago

@MdemuPolycarp Huyu mwamba ametusha sana aisee

Papaachilu's profile picture
Papaachilu1 year ago

@MdemuPolycarp Hii Iko mtaani watu wanaweka mia tano wanachota maji haukuti mtu pale ni kuweka Hela maji yanatokea then unaondoka. Kigamboni ipo

Livingstone's profile picture
Livingstone1 year ago

@MdemuPolycarp Nzuri,

Richard Marwa's profile picture
Richard Marwa1 year ago

@MdemuPolycarp Hizi technology zinauzwa Ali express Bei chee tu ni kuwa na knowledge ndogo tu jinsi ya kuziunganisha yaani simple tu

Chelsea's profile picture
Chelsea1 year ago

@MdemuPolycarp Kibongo hawezi enda popote maana akuna viongoz wazalendo kukuza maarifa ayo. Zaid wafanya biashara watagiza machine toka china kazi zake ziende

bulicheka's profile picture
bulicheka1 year ago

@MdemuPolycarp Alichofanya jamaa ni kufumua slot machine na kutuonesha mfumo wake wa nyaya, actually hizi zipo mitaani zinauza maji unanunua tu kwa mchina, Marekani zipo karibia nusu karne nyuma huko

Related Videos

Proffesor Chris Peter Maina!! Apewe maua yake!!
1:55

Sensitive content

Proffesor Chris Peter Maina!! Apewe maua yake!!

Jebra Kambole

38,883 views • 1 year ago