Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Tundu Lissu mda huu Morogoro mjini.
15,002 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 8

Sasa ni muda wa kuihubir katiba mpya kila Kona na kila pembe ya Tanzania watanzania watambue na wajue umuhimu maana Kuna majoka yanayonufaika na hii iliyopo yanatuponza kufanikisha hili suala

CHADEMA INA HADHINA YA VICHWA VYENYE NIDHAMU YA UONGOZI.

@SuphianJuma njoo usikilize hoja konki huku

Watanzania wana IMANI sana nanyi Rekebisheni vigezo vya mtu kuomba kuchaguliwa. Kigezo kisiwe kukubalika pekee Wateuliwa wa Chadema wengi waliondolewa kwa makosa madogo madogo ambayo huepukika

✌️✌️ people's.....

Kuna polisi mmoja wa kike hapo!! Nahisi analinda raia

Ametema madini, pmoja na mechi y nusu fainali ya Simba, nyomi kaipata

Hivi CCM mnaijua katika swala zima la madaraka,Ukweli ni kwamba Samia mbele ya CCM Kama chama hawezi kwenda tofauti nacho kwani naye ni damu ileile japo angeweza kutumia Mamlaka ya Rais Kama ana mapenzi mema na katiba Mpya na bora ingepatikana Ila hawezi kea Vinasaba vyake CCM
