正在加载视频...
视频加载失败
Ukweli Uzungumzwe.
10 条评论

Zungumzeni ila jueni Hakuna wa kuishinda taasisi. Na tuwahakikishie hii safari lazima tufike bila kumtegemea mtu Au kikundi cha watu. @ChademaTZ2 ni mpango wa mungu

@DevotaMinja Sio jambo la kushangaza kwa genge la wajinga kuunadi ujinga! Wakati mnajiunga CHADEMA akili za kukibeza na kukichafua mlikuwa mmeziacha wapi?! Kinachofanywa na Genge la Njaa55 ni sawa na kutumia kopo la kujitawazia chooni na kuligeuza kuwa sahani ya kulia chakula!

Ukweli upi malaya wa kisiasa. Ukiachika achika na tumikia bwana mpya achana na majungu kwa X wako

Wewe maharufu ya hayo mawanja unayopakaga kwenye nyusi yanakulewesha akili. Punguza.

Documents za kikao cha kamati kuu hazipo? Kama zipo kwa nini zisitumike kukanusha haya? I believe kama haya yalikuwa maazimio ya kamati kuu kuna document ambayo ipo signed ya wajumbe wote wa kamati kuu waliohudhuria kikao kile.

Ivi amuoni mnajiaibisha MFANO WA KUFA KISIASA NI KWA COVID19 AMJAJIFUNZA TU? HUO NDIO MWISHO WA KISIASA KWENU

Mfano wewe unadhani ukigombea kupitia taasisi gani unaweza kushinda

Uongo wako na tamaa yako itakugarimu siku zenu zinahesabika. Uliwasema sana C19 kumbe ww ni zaidi yao. Unahongwa kuiua CDM jiulize utaweza? Kula pesa za Watz ila pesa za CCM zina laana hautakuwa sawa kwasbabu ni pesa zenye damu, mateso ya WATZ. Mungu wetu ni mwema kawaumbua Live

Hakuna ukweli wowote hapo!

Si muondoke na mtulie? Kwani mnahisi umuhimu wenu umeisha? Kila siku chadema kwani ni chama chenu? Ninyi si mmeshaondoka?
