Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

25,676 views • 3 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

PeeTAH's profile picture
PeeTAH3 years ago

Dah! Huyu jamaa huyu,hata akifa siku yyte,(japo hatuombei ila iwe kwa ratiba ya Mungu)kalitendea haki jina lake na karama ambayo Mungu alimpa, Binafsi simdai kitu asee,bless up,

Th€ L2m's profile picture
Th€ L2m3 years ago

Ha ha ha ha Chama chake.....na sio serikali yake. Viva Mh, Rais vyama acha viumizane Serikali ndio refaree wa vyama.

Haki Haiombwi🇺🇰🇪's profile picture
Haki Haiombwi🇺🇰🇪3 years ago

@MikatiKajange Hakika huyu nikiongozi

Reace@📌✈️'s profile picture
Reace@📌✈️3 years ago

Jamaa yupo smart sana kwny kuongea

Aeyel Malima's profile picture
Aeyel Malima3 years ago

Hilda ulkuwa unaagalia mpira pia

BRYCESON G.URIO's profile picture
BRYCESON G.URIO3 years ago

Ni sahihi,serikali ya awamu ya TANO itabakia kuwa serikali iliyoumiza watu kuliko awamu zote kuanzia watu kuuliwa,kundi la wasiojulikana,watu kufilisiwa mali zao kibabe,watu kupotea,makampuni na mashirika mengi binafsi kufa nk nk nk !!!

Mifumo's profile picture
Mifumo3 years ago

Inaumaa

Lyumalinyonge's profile picture
Lyumalinyonge3 years ago

Jambo muhimu sana katika yooote na harakat zako zoote, Naamini unafanya ivo but jipambanie hizi sarakasi zina ukomo wa maajabu mnoo

Eng. Matemu's profile picture
Eng. Matemu3 years ago

CDM ikulu wataisikia tu 😂😂

Mo Boudia's profile picture
Mo Boudia3 years ago

Wewe mwenyewe ni sehemu ya chama tawala

Related Videos