Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

20,112 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Abdulkarim  Juma
Abdulkarim Jumavor 1 Jahr

Zungumzeni ila jueni Hakuna wa kuishinda taasisi. Na tuwahakikishie hii safari lazima tufike bila kumtegemea mtu Au kikundi cha watu. @ChademaTZ2 ni mpango wa mungu

Profilbild von Sir Major
Sir Majorvor 1 Jahr

@DevotaMinja Sio jambo la kushangaza kwa genge la wajinga kuunadi ujinga! Wakati mnajiunga CHADEMA akili za kukibeza na kukichafua mlikuwa mmeziacha wapi?! Kinachofanywa na Genge la Njaa55 ni sawa na kutumia kopo la kujitawazia chooni na kuligeuza kuwa sahani ya kulia chakula!

Profilbild von Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱
Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱vor 1 Jahr

Ukweli upi malaya wa kisiasa. Ukiachika achika na tumikia bwana mpya achana na majungu kwa X wako

Profilbild von prof Muya
prof Muyavor 1 Jahr

Wewe maharufu ya hayo mawanja unayopakaga kwenye nyusi yanakulewesha akili. Punguza.

Profilbild von 𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚vor 1 Jahr

Documents za kikao cha kamati kuu hazipo? Kama zipo kwa nini zisitumike kukanusha haya? I believe kama haya yalikuwa maazimio ya kamati kuu kuna document ambayo ipo signed ya wajumbe wote wa kamati kuu waliohudhuria kikao kile.

Profilbild von Denis Ndunguru
Denis Ndunguruvor 1 Jahr

Ivi amuoni mnajiaibisha MFANO WA KUFA KISIASA NI KWA COVID19 AMJAJIFUNZA TU? HUO NDIO MWISHO WA KISIASA KWENU

Profilbild von elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿vor 1 Jahr

Mfano wewe unadhani ukigombea kupitia taasisi gani unaweza kushinda

Profilbild von Ayie Tag
Ayie Tagvor 1 Jahr

Uongo wako na tamaa yako itakugarimu siku zenu zinahesabika. Uliwasema sana C19 kumbe ww ni zaidi yao. Unahongwa kuiua CDM jiulize utaweza? Kula pesa za Watz ila pesa za CCM zina laana hautakuwa sawa kwasbabu ni pesa zenye damu, mateso ya WATZ. Mungu wetu ni mwema kawaumbua Live

Profilbild von Oscarmsukwa
Oscarmsukwavor 1 Jahr

Hakuna ukweli wowote hapo!

Profilbild von Lai
Laivor 1 Jahr

Si muondoke na mtulie? Kwani mnahisi umuhimu wenu umeisha? Kila siku chadema kwani ni chama chenu? Ninyi si mmeshaondoka?