Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

20,114 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Abdulkarim  Juma's profile picture
Abdulkarim Juma1 year ago

Zungumzeni ila jueni Hakuna wa kuishinda taasisi. Na tuwahakikishie hii safari lazima tufike bila kumtegemea mtu Au kikundi cha watu. @ChademaTZ2 ni mpango wa mungu

Sir Major's profile picture
Sir Major1 year ago

@DevotaMinja Sio jambo la kushangaza kwa genge la wajinga kuunadi ujinga! Wakati mnajiunga CHADEMA akili za kukibeza na kukichafua mlikuwa mmeziacha wapi?! Kinachofanywa na Genge la Njaa55 ni sawa na kutumia kopo la kujitawazia chooni na kuligeuza kuwa sahani ya kulia chakula!

Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱's profile picture
Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱1 year ago

Ukweli upi malaya wa kisiasa. Ukiachika achika na tumikia bwana mpya achana na majungu kwa X wako

prof Muya's profile picture
prof Muya1 year ago

Wewe maharufu ya hayo mawanja unayopakaga kwenye nyusi yanakulewesha akili. Punguza.

𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚's profile picture
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚1 year ago

Documents za kikao cha kamati kuu hazipo? Kama zipo kwa nini zisitumike kukanusha haya? I believe kama haya yalikuwa maazimio ya kamati kuu kuna document ambayo ipo signed ya wajumbe wote wa kamati kuu waliohudhuria kikao kile.

Denis Ndunguru's profile picture
Denis Ndunguru1 year ago

Ivi amuoni mnajiaibisha MFANO WA KUFA KISIASA NI KWA COVID19 AMJAJIFUNZA TU? HUO NDIO MWISHO WA KISIASA KWENU

elyneema yuda🇹🇿🇹🇿's profile picture
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿1 year ago

Mfano wewe unadhani ukigombea kupitia taasisi gani unaweza kushinda

Ayie Tag's profile picture
Ayie Tag1 year ago

Uongo wako na tamaa yako itakugarimu siku zenu zinahesabika. Uliwasema sana C19 kumbe ww ni zaidi yao. Unahongwa kuiua CDM jiulize utaweza? Kula pesa za Watz ila pesa za CCM zina laana hautakuwa sawa kwasbabu ni pesa zenye damu, mateso ya WATZ. Mungu wetu ni mwema kawaumbua Live

Oscarmsukwa's profile picture
Oscarmsukwa1 year ago

Hakuna ukweli wowote hapo!

Lai's profile picture
Lai1 year ago

Si muondoke na mtulie? Kwani mnahisi umuhimu wenu umeisha? Kila siku chadema kwani ni chama chenu? Ninyi si mmeshaondoka?