Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

51,059 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

AhmedBenBella🔟's profile picture
AhmedBenBella🔟1 year ago

Msikilize wakili Jacob apo video nimekuwekea kwenye comment kuhusu ukakasi unaoweza kujitokeza kwenye kesi dhidi ya Derrick junior jamaa aliyeonekana kwenye picha mjongeo akimpiga jamaa kwenye club 1245!👇👇

MUFASA.'s profile picture
MUFASA.1 year ago

With no dis respect wewe Kama wakili ushawahi kusimamia case yoyote ambayo evidence zipo kw CCTV camera? Huwezi danganya au jitetea video ni ya zamani akati CCTV camera ina keep na ku show record ya date and exact time in hours, minutes and seconds ya kila tukio.

Denice Tumaini's profile picture
Denice Tumaini1 year ago

Hiki kinachofanyika hapa kinaitwa subjudice. Kinahamishia mjadala unaohusu ushahidi wa kesi kwenye mitandao na vyombo vya habari. Hili ni kosa tosha la kuondoka na leseni ya media achilia mbali kulala gerezani miezi 6. @TCRA_Tz hizi media huwa hazionekani?

Chaz_skills's profile picture
Chaz_skills1 year ago

Sasa wakili mbona nae hamna kitu footage zote zinakua na muda pale juu na sku na tarehe

Athuman💎's profile picture
Athuman💎1 year ago

Jamaa nibwege kwani jinai inaoza?

AhmedBenBella🔟's profile picture
AhmedBenBella🔟1 year ago

Umemwelewa lkn

Hafidhi Marijani's profile picture
Hafidhi Marijani1 year ago

Sema huyu jamaa hayo maswali yamekaa kizembe sana aache tu. Bastola inajulikana eti toy angeikoki aache kuchumia tumbo.

max's profile picture
max1 year ago

Ndio maana huwa tu natafuta mganga alie serious,sheria ina matundu kama neti,polisi kazi yao ni kuthibitishia mahakama kosa la msingj la mtuhumiwa,halafu mahakama inafanya kazi ndogo tu(kutafsiri sheria). Si kutoa haki hata siku moja.

Fatika's profile picture
Fatika1 year ago

Bado atakuwa na tuhuma zacmakosa matatu: 1. Threat to kill - kutishia kuua 2. Causing bodly harm - Kupiga mtu 3. Public disturbance - kushababisha taharuki

SPECIMEN XY🇺🇸's profile picture
SPECIMEN XY🇺🇸1 year ago

Jeshi la polisi wanajua walimpa kibari cha kumiliki bastola na alipewa leseni ya umiliki no doubt...et ni toy au kuna kibari cha kumiliki Toy ya basta

AhmedBenBella🔟's profile picture
AhmedBenBella🔟1 year ago

Nyie hamjaelewa sio km Ana mtetea bali anachojaribu kusema ni namna mahakama ikiamua kumtetea

Related Videos