Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Video hii hapa👇

51,059 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля AhmedBenBella🔟
AhmedBenBella🔟1 год назад

Msikilize wakili Jacob apo video nimekuwekea kwenye comment kuhusu ukakasi unaoweza kujitokeza kwenye kesi dhidi ya Derrick junior jamaa aliyeonekana kwenye picha mjongeo akimpiga jamaa kwenye club 1245!👇👇

Фото профиля MUFASA.
MUFASA.1 год назад

With no dis respect wewe Kama wakili ushawahi kusimamia case yoyote ambayo evidence zipo kw CCTV camera? Huwezi danganya au jitetea video ni ya zamani akati CCTV camera ina keep na ku show record ya date and exact time in hours, minutes and seconds ya kila tukio.

Фото профиля Denice Tumaini
Denice Tumaini1 год назад

Hiki kinachofanyika hapa kinaitwa subjudice. Kinahamishia mjadala unaohusu ushahidi wa kesi kwenye mitandao na vyombo vya habari. Hili ni kosa tosha la kuondoka na leseni ya media achilia mbali kulala gerezani miezi 6. @TCRA_Tz hizi media huwa hazionekani?

Фото профиля Chaz_skills
Chaz_skills1 год назад

Sasa wakili mbona nae hamna kitu footage zote zinakua na muda pale juu na sku na tarehe

Фото профиля Athuman💎
Athuman💎1 год назад

Jamaa nibwege kwani jinai inaoza?

Фото профиля AhmedBenBella🔟
AhmedBenBella🔟1 год назад

Umemwelewa lkn

Фото профиля Hafidhi Marijani
Hafidhi Marijani1 год назад

Sema huyu jamaa hayo maswali yamekaa kizembe sana aache tu. Bastola inajulikana eti toy angeikoki aache kuchumia tumbo.

Фото профиля max
max1 год назад

Ndio maana huwa tu natafuta mganga alie serious,sheria ina matundu kama neti,polisi kazi yao ni kuthibitishia mahakama kosa la msingj la mtuhumiwa,halafu mahakama inafanya kazi ndogo tu(kutafsiri sheria). Si kutoa haki hata siku moja.

Фото профиля Fatika
Fatika1 год назад

Bado atakuwa na tuhuma zacmakosa matatu: 1. Threat to kill - kutishia kuua 2. Causing bodly harm - Kupiga mtu 3. Public disturbance - kushababisha taharuki

Фото профиля SPECIMEN XY🇺🇸
SPECIMEN XY🇺🇸1 год назад

Jeshi la polisi wanajua walimpa kibari cha kumiliki bastola na alipewa leseni ya umiliki no doubt...et ni toy au kuna kibari cha kumiliki Toy ya basta

Фото профиля AhmedBenBella🔟
AhmedBenBella🔟1 год назад

Nyie hamjaelewa sio km Ana mtetea bali anachojaribu kusema ni namna mahakama ikiamua kumtetea

Похожие видео